johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
😂 😂 😂 😂 😂 😂ummy wizara ngumu unataka kuikimbia umuuzie mwenzio gari bovu
Kisha uingie upi?Haitasaidia chochote dawa ni Uongozi mzima kujiuzulu Bwashee
Hahahaaaaa..😂😂ummy wizara ngumu unataka kuikimbia umuuzie mwenzio gari bovu
Iundwe serikali ya mpito hadi wakati wa uchaguzi itakayohusisha vyama vyoteKisha uingie upi?
Ebu toa pendekezo hiyo serikali itakua na kina nani kwa majina!Iundwe serikali ya mpito hadi wakati wa uchaguzi itakayohusisha vyama vyote
Itakuwa ya mseto wa kutoka vyama vyote sasa swala la majina watajua wenye vyamaEbu toa pendekezo hiyo serikali itakua na kina nani kwa majina!
Vyama vina dawa ya Corona?Itakuwa ya mseto wa kutoka vyama vyote sasa swala la majina watajua wenye vyama
Corona haijapatiwa dawa wala chanjo ila kuuondoa utawala uliopo kwa KUSHINDWA kuwalinda Wananchi na kupuuza Pandemia hiiVyama vina dawa ya Corona?
Hahahaaaaa..[emoji23][emoji23]