Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mh... Nacheka tu maana dah...Haitasaidia chochote dawa ni Uongozi mzima kujiuzulu Bwashee
Huu utawala wa kizinza umefeliMh... Nacheka tu maana dah...
Mh...Huu utawala wa kizinza umefeli
Watanzania tupo milioni 55 sasa Kama out of 55 people hatuwezi kupata mbadala wa hawa incompetent individuals basi corona itufyekelee mbali tu maana tutakuwa hatuna faida hapa dunianiKisha uingie upi?
Sijui kwanini huwa mnapenda sana ushindi wa mezani.Iundwe serikali ya mpito hadi wakati wa uchaguzi itakayohusisha vyama vyote
Mmoja wao ni Mimi hapa,nina master degree,ninauzoefu wa kufanya kazi including management ndani na nje ya Tanzania,nina exposure ya ndani na nje ya nchi, na nina hakika ukitupima IQ,Magufuli anasubiriEbu toa pendekezo hiyo serikali itakua na kina nani kwa majina!
Wapi nimesema ushindi wa mezani serikali ninayoiongelea ni ya mpito hadi uchaguzi mkuu ujaoSijui kwanini huwa mnapenda sana ushindi wa mezani.
Uchaguzi ujao tayari mshindi alishajulikana. Maana mpaka sasa hamna mtu wa kumsimamisha. Chadema kuweni wapole.Wapi nimesema ushindi wa mezani serikali ninayoiongelea ni ya mpito hadi uchaguzi mkuu ujao
Sijui kwanini huwa mnapenda sana ushindi wa mezani.
Tutakayemsimamisha msije tu mkaanza kumuwinda na magoboleUchaguzi ujao tayari mshindi alishajulikana. Maana mpaka sasa hamna mtu wa kumsimamisha. Chadema kuweni wapole.
Hii sio nchi ya kidikteta.Tutakayemsimamisha msije tu mkaanza kumuwinda na magobole