Tuombe Mungu Lissu arejeeHii sio nchi ya kidikteta.
Kwani anaogopa nini? Yeye aje tu na hana jipya la kuwasaidia.Tuombe Mungu Lissu arejee
Waliotuma atolewe roho bado wanang'ang'ania magogoniKwani anaogopa nini? Yeye aje tu na hana jipya la kuwasaidia.
Hilo halina uthibitisho.Waliotuma atolewe roho bado wanang'ang'ania magogoni
Hilo halina uthibitisho.Waliotuma atolewe roho bado wanang'ang'ania magogoni
Halina uthibitisho. Mkuu wanamsingizia tu,ndio maana Dk Mollel alisema wewe na jamaa zako mnajua kila kitu.Waliotuma atolewe roho bado wanang'ang'ania magogoni
Kama hawataki ithibikike basi ni waoHilo halina uthibitisho.
Dk Mollel alisema Chadema ndio walipanga hizo njama.Kama hawataki ithibikike basi ni wao
Zambi zao wanamvika mmasai wa watuDk Mollel alisema Chadema ndio walipanga hizo njama.
Nyie mnafahamu mchongo wote, tena nasikia mna vikundi vya magaidi. Dk Mollel anajua siri nyingi za Chadema.Zambi zao wanamvika mmasai wa watu
Chato? Tetemeko lilifika huko?Ndio maana jana hakulala tetemeko lilipandisha hadi bp mimi naamini madhambi yanamuandama
Njaa za Mmasai asie na ng'ombe ogopa sana mmasai wa mjini wenzake wanawasuka wanawake huyu kaamua kuwasuka viongozi wa CCMNyie mnafahamu mchongo wote,tena nasikia mna vikundi vya magaidi. Dk Mollel anajua siri nyingi za Chadema.
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu. Jamaa aliwaumbua sana Chadema.Njaa za Mmasai asie na ng'ombe ogopa sana mmasai wa mjini wenzake wanawasuka wanawake huyu kaamua kuwasuka viongozi wa ccm