Limetokea Maneo ya Mbogwe na Ushirombo limefika Chato mambo yakawa hivi:"Baado tu wananifuatafuata" tena kwa sauti kaliChato? Tetemeko lilifika huko?
Hizo ni njaaMsema kweli ni mpenzi wa Mungu. Jamaa aliwaumbua sana Chadema.
Acha uhuni,najua tayari upo mbwii na hivi leo J mosi.Limetokea Maneo ya Mbogwe na Ushirombo limefika Chato mambo yakawa hivi:Baado tu wananifuatafuata tena kwa sauti kali
Nipo hapa Katoro napata za laivu kutoka jikoniAcha uhuni,najua tayari upo mbwii na hivi leo J mosi.
Ila awamu ya tano CCM ina dawa ya Corona??!kwikwikwiiVyama vina dawa ya Corona?
Sasa wanajiuzulu vip wakat 2020 uchaguzi uko karibuHaitasaidia chochote dawa ni Uongozi mzima kujiuzulu Bwashee
Uchaguzi hata ukisogezwa mbele ni sawa kipindi tume ya uchaguzi nayo inafumuliwa na kusukwa upya
Nitajie nchi ambayo imelinda wananchi wake na hawajaathirika na corona duniani.Corona haijapatiwa dawa wala chanjo ila kuuondoa utawala uliopo kwa KUSHINDWA kuwalinda Wananchi na kupuuza Pandemia hii
Sisi Watanzania hatuna imani tena na Serikali hii
Kumbuka chief wakati Uganda na Kenya na Rwanda walipokuwa wana kesi za corona sisi tulikuwa hatuna hata mojaNitajie nchi ambayo imelinda wananchi wake na hawajaathirika na corona duniani.