Dkt. Kigwangalla aliwashia moto gazeti la Jamhuri kwa 'kumchafua'

Dkt. Kigwangalla aliwashia moto gazeti la Jamhuri kwa 'kumchafua'

Kuna watu makini pale Manyerere Jackton na yule mwezake.
Dkt. Kigwangalla akiendelea kulifuatilia hili gazeti, atapoteza Uwaziri wake. Angekuwa anaona mbele angekaa kimya.

Hili gazeti Mlione tu kama lilivyo. Mfikishieni ujumbe.

Alianza Mwiguu, akaja January Makamba na sasa ni Zamu ya Kigwangalla. Ila alijitahidi kufanya kazi tangu alipokuwa Wizara ya Afya.
 
Huyo hajawahi kuwa msafi hata kidogo ni sawa na mafiasadi wengine ndani ya chama chao
Lazima kutakuwa na ukweli, Kigwa lazima atakuwa amevuta pesa ndegu kwenye hii kampuni, alivyopata uwaziri wa utalii aliiandama sana hii kampuni kwa kudai ilikuwa inashirikiana na Nyalandu kuhujumu rasilimali za utalii na ilipewa vitalu kwa upendeleo na kutaka Nyalandu achukuliwe hatua za kisheria, lakini gafla kawa kimya na kuunga mkono vizuri sana kazi za kampuni hii , jamaa wa ccm ni walafi wa rushwa hata viongozi wa juu wanalijua hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

 
Naanza ku conculde kwamba ni makosa kuwapa vijana uongozi. Tuwaachie wazee. Uongozi unahitaji utulivu na hekima vitu ambavyo vinapatikana uzeeni. Niliandika hapa kwa kirefu

 
Back
Top Bottom