Dkt. Kigwangalla aliwashia moto gazeti la Jamhuri kwa 'kumchafua'

Kuna watu makini pale Manyerere Jackton na yule mwezake.
 
Huyo hajawahi kuwa msafi hata kidogo ni sawa na mafiasadi wengine ndani ya chama chao
Sent using Jamii Forums mobile app
 

 
Naanza ku conculde kwamba ni makosa kuwapa vijana uongozi. Tuwaachie wazee. Uongozi unahitaji utulivu na hekima vitu ambavyo vinapatikana uzeeni. Niliandika hapa kwa kirefu

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…