Dkt. Kigwangalla aliwashia moto gazeti la Jamhuri kwa 'kumchafua'

Mkuu vijana wa Tanzania ndiyo shida. Wamezidi tamaa na wanataka kuabudiwa. Wanapenda ujiko na wana njaa ya kupanda ngazi kimadaraka kwa haraka. Hawana subra. Orodhosha vijana karibu wooote walio kwenye nafasi za uongozi kuanzia ukuu wa wilaya kwenda juu uone. Kwanza wengi ni wapiga dili. Sioni wenye busara au wanaofaa kuwa viongozi wa kesho. Huyu Kigwa ndiyo kabisaa.. hovyo kabisa. Hata ukuu wa Wilaya siyo saizi yake. Nashangaa Magufuli anatoka wapi na watu kama hawa.
 
Kuna mtu anaandaliwa kutumbuliwa soon
 
Hili gazeti linachapishwa na kampuni gani?
 
Balile na gazeti lake aache kutumika ,atashindwa kama alivoshindwa issue ya Makonda,baada ya Nape Nnauye Kutaka kumtumia kummaliza Makonda.

Misheni hii itafeli tu,

Kigwangala ni kijana mtiifu na mchapakazi hodari wa Rais Magufuli,hili halina ubishi,

kuhusu mafanikio ya wizara ya maliasili alivyoikuta na ilipo sasa hata kabla ya Adolf Mkenda hajapelekwa wizara hiyo,kuna ufanisi sana,mapato yameongezeka
Ikumbukwe rais Magufuli ana vyanzo makini na vyenye weledi katika kumpatia taarifa muhimu kuhusu sakata hili ndani ya wizara ya maliasili.
Hategemei gazeti la Jamuhuri ,gazeti hili lilifanikiwa mishe moja tu ya sakata la mafuta bandarini na kupatiwa hongera na rais Magufuli,toka hapo Balile akavimba kichwa.

Kilichotakiwa ni Balile kuhakikisha anapata maelezo ya upande wa pili wa Kigwangala ili kubalance story kabla ya Ku release hadharani ili mbivu na mbichi sisi wasomaji tuchague.
Lakini kinachoonekana ni Balile kutumika na Adolf Mkenda kummaliza Kigwangalah.

Angalizo,
Wakati rais Magufuli anamuapisha Adolf Mkenda alimwambia anampeleka Maliasili na huko pia akavurunde,hatamuhamisha tena ,ispokua ni kula kichwa.

Mwisho
Wasanii ni kiungo muhimu Sana kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu,si kwa Kigwangalah tu hata Rais Magufuli mwenyewe anawahitaji sana tu.

Namalizia kwa kusema Rais Magufuli ni makini sana na maamuzi yake yatawashangaza wengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo wakili aliyeandika hii barua nimemkubali alivyopangilia hoja na anavyowasilisha na sain yake hiyo...
 

Akianza kushindana na magazeti, kutamfanya atumbuliwe mapema tu.
Bora angenyamaza. Mbona mwenzake katajwa lakini hajalalamika? au ndo kusema jiwelimerushwa gizani.
 
Tuko busy na Iran VS USA, huu upuuzi tutaujadili hali ikitulia hukomashariki ya kati.
 
Kwani ni uongo? Umezidi waziri tabia mbaya mchafuzi wa mazingira kha mara kisarawe mara sijui wapi! Tulizana akina ebitoke na uchafu mwingine mnaogombania na mwenzio mnashangaza ati!

Jiwe lingine hili!!
 
Kwa huu upupu ulioandika hapa Wallah unalako jambo ama umetumwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa kama ana akili ya kuzaliwa ni afadhali ajiongeze kwa kutokugombana na watu ajikalie kimya tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Namkumbuka mzee wangu wakati akiwa mwana siasa tena zama za chama kimoja, alikuwa ana niambia ukitaka udumu katika nafasi yako au uwe na sifa nzuri ya uongozi, usibishane na waandishi wa habari. Chunga sana kutofautiana nao maana wataweza kukuangusha muda wowote.
Naona kama Kigwa yana kwenda kumtokea makuu sasa hivi.. Maana naamini yaliyo andikwa ni ya kweli kabisa.. Na sitegemei gazeti limuombe radhi zaidi ya kufichua siri nzito zaidi..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…