KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Tuache kwanza pembeni "alivyopangilia hoja na anavyowasilisha"..., mimi ningeshukuru sana aniambie anatumia dakika ngapi kuiandika saini hiyo, na ningeshukuru akaweka sampuli ya pili hapa ili nilinganishe na hiyo ya kwanza kama zinafanana.Huyo wakili aliyeandika hii barua nimemkubali alivyopangilia hoja na anavyowasilisha na sain yake hiyo...
Erythro, unayo maktaba ukubwa kiasi gani?
mzeee wa nje ya BOX hahahaha huu ni ukoo wa panyaMheshimiwa waziri tumesha yafahamu tuachie tuyatafakari.
Kwasbabu ni mzoefu, anaweza asikoseeTuache kwanza pembeni "alivyopangilia hoja na anavyowasilisha"..., mimi ningeshukuru sana aniambie anatumia dakika ngapi kuiandika saini hiyo, na ningeshukuru akaweka sampuli ya pili hapa ili nilinganishe na hiyo ya kwanza kama zinafanana.
Nadhani huyu na Donald Trump ni ndugu wa tumbo moja.
Nje ya box anapiga ma bilioni,mzeee wa nje ya BOX hahahaha huu ni ukoo wa panya
Namkumbuka mzee wangu wakati akiwa mwana siasa tena zama za chama kimoja, alikuwa ana niambia ukitaka udumu katika nafasi yako au uwe na sifa nzuri ya uongozi, usibishane na waandishi wa habari. Chunga sana kutofautiana nao maana wataweza kukuangusha muda wowote.
Naona kama Kigwa yana kwenda kumtokea makuu sasa hivi.. Maana naamini yaliyo andikwa ni ya kweli kabisa.. Na sitegemei gazeti limuombe radhi zaidi ya kufichua siri nzito zaidi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda Wa wanyamaporiSi ndio anataka kugombea urais2025?
Hio ni ndoto huyu ni praise teamDkt. Kigwangalla akiendelea kulifuatilia hili gazeti, atapoteza Uwaziri wake. Angekuwa anaona mbele angekaa kimya.
Hili gazeti Mlione tu kama lilivyo. Mfikishieni ujumbe.
Alianza Mwiguu, akaja January Makamba na sasa ni Zamu ya Kigwangalla. Ila alijitahidi kufanya kazi tangu alipokuwa Wizara ya Afya.
Cv ya kupraise inambebaHuyu ni mmoja wapo ya mawaziri wa hovyo sana. Magufuli amekosea sana kumpa uwaziri.
Maktaba yangu ni kubwa sanaErythro, unayo maktaba ukubwa kiasi gani?
Kwahiyo akisafirishwa Ebitoke wewe unaona wivu?Anawasafirisha ,bitoke
Baadaye kesi itabadilishwa na badala yake gazeti la jamhuri litaonekana limekwepa Kodi na kutakatisha fedha
Alipoanza kubishana na Bashite juu ya yule kijana mchora 'cartoon' aliyejiweka kwenye nafasi aliyoambiwa amevuka mipaka ya kazi yake; angeanzia hapo kuhesabu maumivu yake..ina tegemea nani yuko nyuma ya Jamhuri.
..Kigwangala anaweza kushtukia mazungumzo yake ya siri yanawekwa hadharani.
Mkuu akina Ebitoke wanaitangaza Tanzania,yaleyale aliyoyafanya Nyalandu ya kuwapeleka Marekani akiana Ant Ezekiel ndio anayoyafanya Kingwa na akina Ebitoke ,yale mahema ya mbugani mbona yanavopata shida Mungu ndie anajua.Kwani ni uongo? Umezidi waziri tabia mbaya mchafuzi wa mazingira kha mara kisarawe mara sijui wapi! Tulizana akina ebitoke na uchafu mwingine mnaogombania na mwenzio mnashangaza ati!