johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mpinge kwa hojaHuyu Kigwangalla ana laana ya kumtelekeza Baba yake Mzazi.
Musk anajua kuna mtu anaitwa kigwangala?Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali
Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space π
Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?
Wanajibishana Ukurasani X
Jumaa Mubarak π
Musk hawezi hangaika na HK kwanza hamfahamuMgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali
Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space π
Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?
Wanajibishana Ukurasani X
Jumaa Mubarak π
Asingejua angejibishana naye? ππMusk anajua kuna mtu anaitwa kigwangala?
Hamfahamu kivipi? πMusk hawezi hangaika na HK kwanza hamfahamu
πππHuyu Kichwani zimeruka
ova
Elon amejibu wapi?Asingejua angejibishana naye? ππ
Huyu Bagalile au?Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali
Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space π
Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?
Wanajibishana Ukurasani X
Jumaa Mubarak π
Walikuwa na kampuni yao ya kununua pamba inaitwa MSK SOLUTION walichemsha,kampuni ikayumba na mkopo juu walikuwa wanadaiwa,huyu maneno mengi tuπππ
ni kituko!Kigwa na musk wapi na wapi
Ka video au ka skrini shoti basi kusapoti hii postMpinge kwa hoja
Laana Ndio Siasa yenyewe πΌ