SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Huyu mshirikina anatafuta kiki tu hana lolote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mshirikina anatafuta kiki tu hana lolote.
Dr KH is terribly having severe episodes of Grandiose delusions, akitoa ushirikiano, akapata tiba na ushauri nasaa, anaweza pona na akawa a more productive citizenMgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali
Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space 😄
Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?
Wanajibishana Ukurasani X
Jumaa Mubarak 😀

Time will tell. These billionaires are so bloated that they no longer remember how they got rich in the first place. Heavy government spending is a tremendous economic stimulus in America!Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali
Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space 😄
Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?
Wanajibishana Ukurasani X
Jumaa Mubarak 😀
Sii kweli, its the other way round!. Baba ndie alimtelekeza mama na mtoto, lakini mtoto ndie akaja kumtunza baba, akaugua na kumtibia hadi kifo, na akamzika!. Majibu: Sijamtelekeza Baba yangu, Mzee KigwangallaHuyu Kigwangalla ana laana ya kumtelekeza Baba yake Mzazi.
Kwahiyo wewe na Baba yake Kigwangalla nani mkweli ?.Sii kweli, its the other way round!. Baba ndie alimtelekeza mama na mtoto, lakini mtoto ndie akaja kumtunza baba, akaugua na kumtibia hadi kifo, na akamzika!.
P
Tunafahamiana sana na Baba yake, ni mwandishi wa habari mwenzangu, hapa ni mzee alizengua tuu! VIDEO: Baba Mzazi wa Dk. Kigwangalla adai kutelekezwa na mwanae, but he was well taken care of!.Kwahiyo wewe na Baba yake Kigwangalla nani mkweli ?.
Is there any compelling reason for going public on family matters? Hii tabia hunishangaza sana mimi.Tunafahamiana sana na Baba yake, ni mwandishi wa habari mwenzangu, hapa ni mzee alizengua tuu! VIDEO: Baba Mzazi wa Dk. Kigwangalla adai kutelekezwa na mwanae, but he was well taken care of!.
P
Ficheni ujinga 😂Tumuombee sana Hamis ana kitu kikubwa sana ndani yake
Trump akiona hii elim Hamis anampa Elon lazima atamteua awe mshauri wake
Trump anahitaji watu kama Hamis
Hamis ni hazina kubwa sana kwa ccm .
Hakuna uhusianoHuyu Kigwangalla ana laana ya kumtelekeza Baba yake Mzazi.
Mwafrika ni nyani ayepata maarifa ya kuvaa nguo. Huyu nyani alishindwa hata kuwapatia huduma wanawake wanaozaa anataka kubishana na Elon?Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali
Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space 😄
Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?
Wanajibishana Ukurasani X
Jumaa Mubarak 😀
Weka hapa "screenshots" ya hayo majibizano bwa Yohana Mbatizaji johnthebaptist .Asingejua angejibishana naye? 😀😀
Weka na huyo unayempigania 2025.1. Kigwangala
2. Polisi
3. Single mama
4. Makonda
5. Mwigulu
6. Mbowe
Hao watu ni ngumu sana kuwatetea.
DOGE inakuja mapema sana, punde CCM itakapotolewa madarakani.Huyo Hamisi kwa ubadhirifu aliofanya wizara ya maliasili na utalii anadhani tumesahau?
DOGE ingekuwepo Tanzania watu wa jinsi yake wangekuwa nyuma ya nondo kwa sasa.
Labda ndio Sababu Dr Kigwangalla anaogopa 😂DOGE inakuja mapema sana, punde CCM itakapotolewa madarakani.
Hata wale waliokula fedha za "stimulus package" miaka ilee nao watafikiwa tuu.