Dkt Kigwangalla amfokea Elon Musk na kumwambia " Government by design thrives on inefficiency, technocracy and sluggish processes", so DOGE si lolote!

Dkt Kigwangalla amfokea Elon Musk na kumwambia " Government by design thrives on inefficiency, technocracy and sluggish processes", so DOGE si lolote!

Nchi tajiri kama US inayoweza afford kwenda bila kujali wanajitahidi kukabiliana na inefficiency, kisha anatokea mlima mpunga toka dunia ya tatu na kuanza kuhubiri inefficiency na slugish process. Nchi yake ndiyo ilikuwa iwe mbele kukabiliana na mambo hayo.
 
Hata kama ana hoja na analosema ni ukweli lakini sisi walipa Kodi tunamlipa kushughulikia matatizo within; sasa kabla hajafanya hivyo sidhani kama ana muda wa kutosha kushauri ya huko mbali...; Hayo atuachie sisi ambao hatuchukui Kodi ya wenye nchi...
 
Nchi tajiri kama US inayoweza afford kwenda bila kujali wanajitahidi kukabiliana na inefficiency, kisha anatokea mlima mpunga toka dunia ya tatu na kuanza kuhubiri inefficiency na slugish process. Nchi yake ndiyo ilikuwa iwe mbele kukabiliana na mambo hayo.
Sijajua Hata huo ubunge huwa anaupataje? 😂
 
Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali

Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space 😄

Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?

Wanajibishana Ukurasani X

Jumaa Mubarak 😀
Huyo Hamisi ana hallucinations,wivu na udumavu wa akili.Ana alergy na matajiri.
CC;Mo Dewji aione kwenye jalada kwa ajili ya kutoa mchango wa kumpeleka daktari akatibiwe kwa mganga wa kienyeji.
 
Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali

Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space 😄

Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?

Wanajibishana Ukurasani X

Jumaa Mubarak 😀
Jamani acheni kutupotezea muda sasa kigwa na musk wapi na wapi..
 
Musk Tajiri namba moja Duniani na mmoja wa watu wenye ushawishi kwa sasa kwenye serikali ya Marekani, aache kupoteza muda na huyu mpiga ramli wa Nzega anayeamini kwenye miujiza na mafanikio kupitia ajira ya CCM na serikali ya CCM.
 
Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali

Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space 😄

Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?

Wanajibishana Ukurasani X

Jumaa Mubarak 😀
Anatafuta kick kishamba
 
Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali

Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space 😄

Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?

Wanajibishana Ukurasani X

Jumaa Mubarak 😀
Tuende mdogo mdogo DOGE itatupasua ubongo.
 
Elon amejibu wapi?
Elon huwa na kawaida ya kureply mtu yoyote tu kwe ukurasa wake wa X ikiwa ataweka Hoja then wewe ukajibu hoja yake vinzuri huwa anareply haijarishi wewe ni nani
ndio mana kuna mda watu huwa wanasema ni robot ndio anajibu si yeye

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom