Dkt Kigwangalla amfokea Elon Musk na kumwambia " Government by design thrives on inefficiency, technocracy and sluggish processes", so DOGE si lolote!

Dkt Kigwangalla amfokea Elon Musk na kumwambia " Government by design thrives on inefficiency, technocracy and sluggish processes", so DOGE si lolote!

Nimesoma comments zote kwenye hii post, sijaona hata moja inayopinga, kujadili, au kufafanua hoja ya msingi ya Kigwangala ambayo ni "Government by design thrives on inefficiency, technocracy and sluggish processes" !!
Badala yake watu wanamjadili Kigwangala mwenyewe!
Wasomi wetu wa Uchumi, Political Science, na taaluma zingine zinazohusiana na hilo mko wapi?
Kwa kweli tuna kazi sana.
 
Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space
Kigwangala hana jipya.
Kwani kujua siasa kunaleta tija gani?
Mbona wanasiasa wa Tanzania na nchi nyingi zabAfrika wamefeli kwa kila jambo miaka yote?

Kigwangala akumbushwe tu kuwa hata rais Trump mwenyewe siyo mwanasiasa lia lia, ni billionea kama Elon ingawa hamfikii
 
Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali

Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space 😄

Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?

Wanajibishana Ukurasani X

Jumaa Mubarak 😀
Toka anyimwe Bodaboda na Tajiri wa Tanzania huyu jamaa ana makasiriko sana na matajiri 😂😂
 
Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali

Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space 😄

Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?

Wanajibishana Ukurasani X

Jumaa Mubarak 😀
😼😼😼!
 
Kwani huyo Masiki na Kigwalagwala wamekutania wapi?
 
Back
Top Bottom