KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Yohana usitudanganye. Si kijana yule wa Nauye alitueleza kinagaubaga jinsi mnavyoshinda kwenye uchaguzi, au umesahau?Sijajua Hata huo ubunge huwa anaupataje? 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yohana usitudanganye. Si kijana yule wa Nauye alitueleza kinagaubaga jinsi mnavyoshinda kwenye uchaguzi, au umesahau?Sijajua Hata huo ubunge huwa anaupataje? 😂
Kwani ukikaa kimya utapigwa?Weka na huyo unayempigania 2025.
Unafiki ndio unatumaliza Wabongo.Kwani ukikaa kimya utapigwa?
Kigwangala hana jipya.Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space
Hahaha,
Jibu lipo kwenye post #20Sijajua Hata huo ubunge huwa anaupataje? 😂
Toka anyimwe Bodaboda na Tajiri wa Tanzania huyu jamaa ana makasiriko sana na matajiri 😂😂Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali
Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space 😄
Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?
Wanajibishana Ukurasani X
Jumaa Mubarak 😀
😼😼😼!Mgombea Urais 2015, Waziri mstaafu na Mbunge wa CCM Dr Kigwangalla baada ya kumshindwa tajiri Namba 1 Nchini MO Dewji kwenye mkopo wa Pikipiki Sasa ameingia kwenye Ligi na Tajiri Namba 1 duniani Elon Musk kuhusu Ufanisi wa serikali
Musk ndiye Mkuu wa Department Of Government Efficiency ya Marekani na Dr Kigwangalla anaona Musk hajui lolote kuhusu SIASA na anamshauri abakie kwenye Masayansi yake ya Space 😄
Je, Kigwangalla ambaye naye alikimbia udaktari Muhimbili Ili avune mahela ya Bure kwenye Siasa atamuweza Musk kwenye haya malumbano?
Wanajibishana Ukurasani X
Jumaa Mubarak 😀