Dkt. Kigwangalla kushauri "Herd Immunity" dhidi ya Corona, ndio msimamo wa Serikali?

Dkt. Kigwangalla kushauri "Herd Immunity" dhidi ya Corona, ndio msimamo wa Serikali?

..anasema " 'tujamiiane' kwa kuzingatia social distance..."

..nadhani mheshimiwa hajui maana ya neno "kujamiiana."

Aliyekuambia na Kukudaganya kuwa kila Mtu ukisikia tu ni Medical Doctor kama Yeye huyo basi ana Akili Kubwa ni nani Ndugu?
 
..kwenye nchi za wenzetu Mh.Dr.Kigwangala angelazimishwa kujiuzulu kutokana na hiki alichoandika.

Sio tu kujiuzulu, angeweza hata kunyanganywa leseni ya udaktari au kutolewa kwenye vyama vyao ikiwa ni mwanachama.

Hawa ndio wanafanya sie tuliogoma kwenda shule tusijutie maamuzi yetu.

Tunaweza kumlaumu mkubwa anavyopambana na hili janga kumbe tatizo ni hawa watalaam wa hii kaliba wanaomshauri.

Haya ni madini kutoka kwa mwanascholar mwenye PhD, au nimekosea?
 
Ngoja umpate ndo atatia akili. Herd immunity wakati huduma za hovyo?Hauna vaccines,social gathering inaendelea. Ngonja tuone mwisho wake. Mungu nilinde nione mwisho wa hilo waliloliamua. Ngonja mawaziri wafe ndo hawa viongozi watatia akili.
 
Hamis Kigwangala ambaye ni daktari wa afya ameandika meengi katika mtandao wake wa instagram. Kwa tafsiri rahisi ni kwamba anashauri herd immunity.

Kutokana na mwenendo wa serikali katika mapambano dhidi ya corona Je,huu ndio msimamo wa serikali?

Mbona maambukizi mapya hayatangazwi,mbona vifo havitangazwi. Upuliziaji wa dawa ya kuua virus huko Dar es Salaam mbona umesitishwa?

Naomba kuwasilisha hoja

----

Kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika...

Ugonjwa wa COVID-19 tunao na ushasambaa nchini kote. Ndugu zetu wenye umri mkubwa ama wenye magonjwa mengine wanaathirika zaidi ama wanapoteza maisha kabisa. Hatuna chanjo wala tiba, we are helpless kama binadamu.

Kipindi kigumu sana kwa walimwengu na ulimwengu. Maisha yetu yamebadilika sana na kamwe hayatokuwa sawa tena, baada ya janga hili. Life has changed and shall remain changed for good; pengine mpaka pale tutakapopata chanjo ama dawa ya kutibu COVID-19.

Kwa sasa tunahitaji utafiti wa namna ya kurudi kwenye maisha yetu taratibu. Utafiti utuambie lini tuwe tayari kurudi kawaida. Na siyo mbali sana. Maana tumechoka kuishi kwa mashaka. Pengine tujue tu kuwa haya ndiyo yameishakuwa maisha yetu. Our ‘new normal’.

Utafiti utuelezee new normal itakuwaje. Wananchi wasisitizwe kuishi kwa kuendelea kuchukua hatua za kujikinga dhidi ya Covid-19. Wajue namna ya kuzika sasa inakuwaje, serikali isaidie kushiriki mazishi ya watu wetu watakaopata bahati mbaya ya kifo dhidi ya ugonjwa huu, wawazike kwa mila na desturi za dini zao kwa kuzingatia misingi yote ya kujikinga dhidi ya maambukizi.

Hotel zifunguliwe, watu tuanze kutembea kwa amani, tujamiiane kwa kuzingatia ‘social distancing’ n.k. Hakuna haja ya karantini tena, hakuna haja ya ‘social isolation’ tena.

Kuvaa barakoa ndiyo our new normal. Tuanze kushona za kifashion fashion hivi. Tuzowee. Kunawa mikono kila wakati nayo Ndiyo ishakuwa another new normal. Tuzowee tu. Kukaa mbalimbali, kuto-shake hands ndiyo ishakuwa new normal. Tuzowee tu. Bajeti yetu tuielekeze kwenye tiba na kuwalinda askari wetu wa mstari wa mbele.

Tuwekeze kwenye kuiboresha mifumo yetu ya kuwatibu wale asilimia chini ya 5 watakaopata ugonjwa serious zaidi. Utafiti utakaoambatana na kupima utusaidie kujua ni watu wangapi wanaoweza kuwa wameambukizwa na wakapona na kiwango cha maambukizi kikoje kiasi tujue kama tunaweza kupata kinga ya jamii yote baada ya muda gani? (Herd Immunity).

Jamii ieleweshwe kuwatenga na kuwalinda wazee na wenye magonjwa mengine. Tunahitaji utafiti haraka turudi makazini kama mwanzoni tuishi na adui bila hofu ila kwa tahadhari kama Dance ya Simba na Swala.

Hatuwezi kuendelea kwenda mbele
Ushauri mzuri,tuchukue kuwa ndio maisha ili tuweze kwenda mbele,vinginevyo tutakuwa na vifo vya ina tatu,njaa,umasikini na corona yenyewe...
 
Hamis Kigwangala ambaye ni daktari wa afya ameandika meengi katika mtandao wake wa instagram. Kwa tafsiri rahisi ni kwamba anashauri herd immunity.

Kutokana na mwenendo wa serikali katika mapambano dhidi ya corona Je,huu ndio msimamo wa serikali?

Mbona maambukizi mapya hayatangazwi,mbona vifo havitangazwi. Upuliziaji wa dawa ya kuua virus huko Dar es Salaam mbona umesitishwa?

Naomba kuwasilisha hoja

----

Kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika...

Ugonjwa wa COVID-19 tunao na ushasambaa nchini kote. Ndugu zetu wenye umri mkubwa ama wenye magonjwa mengine wanaathirika zaidi ama wanapoteza maisha kabisa. Hatuna chanjo wala tiba, we are helpless kama binadamu.

Kipindi kigumu sana kwa walimwengu na ulimwengu. Maisha yetu yamebadilika sana na kamwe hayatokuwa sawa tena, baada ya janga hili. Life has changed and shall remain changed for good; pengine mpaka pale tutakapopata chanjo ama dawa ya kutibu COVID-19.

Kwa sasa tunahitaji utafiti wa namna ya kurudi kwenye maisha yetu taratibu. Utafiti utuambie lini tuwe tayari kurudi kawaida. Na siyo mbali sana. Maana tumechoka kuishi kwa mashaka. Pengine tujue tu kuwa haya ndiyo yameishakuwa maisha yetu. Our ‘new normal’.

Utafiti utuelezee new normal itakuwaje. Wananchi wasisitizwe kuishi kwa kuendelea kuchukua hatua za kujikinga dhidi ya Covid-19. Wajue namna ya kuzika sasa inakuwaje, serikali isaidie kushiriki mazishi ya watu wetu watakaopata bahati mbaya ya kifo dhidi ya ugonjwa huu, wawazike kwa mila na desturi za dini zao kwa kuzingatia misingi yote ya kujikinga dhidi ya maambukizi.

Hotel zifunguliwe, watu tuanze kutembea kwa amani, tujamiiane kwa kuzingatia ‘social distancing’ n.k. Hakuna haja ya karantini tena, hakuna haja ya ‘social isolation’ tena.

Kuvaa barakoa ndiyo our new normal. Tuanze kushona za kifashion fashion hivi. Tuzowee. Kunawa mikono kila wakati nayo Ndiyo ishakuwa another new normal. Tuzowee tu. Kukaa mbalimbali, kuto-shake hands ndiyo ishakuwa new normal. Tuzowee tu. Bajeti yetu tuielekeze kwenye tiba na kuwalinda askari wetu wa mstari wa mbele.

Tuwekeze kwenye kuiboresha mifumo yetu ya kuwatibu wale asilimia chini ya 5 watakaopata ugonjwa serious zaidi. Utafiti utakaoambatana na kupima utusaidie kujua ni watu wangapi wanaoweza kuwa wameambukizwa na wakapona na kiwango cha maambukizi kikoje kiasi tujue kama tunaweza kupata kinga ya jamii yote baada ya muda gani? (Herd Immunity).

Jamii ieleweshwe kuwatenga na kuwalinda wazee na wenye magonjwa mengine. Tunahitaji utafiti haraka turudi makazini kama mwanzoni tuishi na adui bila hofu ila kwa tahadhari kama Dance ya Simba na Swala.

Hatuwezi kuendelea kwenda mbele
Ushauri makini kwamba COVID-19 itabadili tabia na desturi katika maisha ya binadamu.

Kuanzia sasa Barakoa litakuwa moja ya vazi mhimu kwa binadamu, kama zilivyo nguo za ndani, ikiwa ni pamoja na kutakasa mikono. Mabadiliko haya, katika maisha ya binadamu, yatapunguza kwa kiasi kikubwa magonjwa ya kuambukiza.
 
Although African Americans are minority in most infected states in USA but Corona mortality is very very high if you compare majority white race.
Dont mess up with Covid-19, just follow cardinal rule of engagement which is social distancing.
It's so because the majority of blacks live in abject poverty,addicted to alcoholism and drug trafficking...The kind of food they take in also matters..It's different from we Africans,we eat natural food which is a prerequisite for strong immunity and gaining physical strength... Also our lifestyle seems to be favourable over this pandemic though we shouldn't relax...We have to follow what's being said by health officials and also adhere to those rules imposed upon us by the government concerning this tiny virus.
 
..anasema " 'tujamiiane' kwa kuzingatia social distance..."

..nadhani mheshimiwa hajui maana ya neno "kujamiiana."
Social distance ambayo inapendekezwa ni mita tatu. Ni wazi hiyo hairuhusu kujamiiana kama inavyoeleweka kwa wengi. Lakini anachoelezea hapa ni social intercourse au social interaction ambayo ameitafsiri kama kujamiiana. Hivyo kujamiiana inaweza kuwa ni sexual intercourse katika masuala ya ngono au social intercourse katika mawasiliano ya kijamii.
 
Huu ushauri anaoutoa angalia corona isipite naye jumla jumla akifikiria kuwa yeye ni waziri Yuko exceptional badala atoe ushauri, yeye ana suggest natural selection

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Herd immunity ni nzuri sana kwa sababu itamaliza vigogo wote ambao wamefanya uzembe katika janga hili!
 
Kwa taarifa nchi nyingi duniani zinajipanga kwenda kwenye "herd immunity". Ujerumani, Uingereza, Marekani, Korea Kusini, China wameishaanza kwenda kwenye " herd immunity ". Hata Italia nao wanalifikiria hilo. Kwa maoni yangu, itabidi nchi nyingi, ikiwemo Tanzania itabidi tuelekee huko kwasababu ugonjwa huu hauishi leo na maisha lazima yaendelee.
Ni rahisi sana kupendekeza hivi kama huna tatizo la kupumua. Ukiwa nalo pendekezo litakuwa la kupigania chanjo ipatikane.
 
..anasema " 'tujamiiane' kwa kuzingatia social distance..."

..nadhani mheshimiwa hajui maana ya neno "kujamiiana."
Maada yoooote we umeona kwenye kujamiiana tu!. hahahaaaha wa bongo noma
 
Kuelezea herd immunity ni nini haimaanishi naungana nayo, natoa definition watu wasiojua ni nini waelewe, acha ushamba uwe unajitahidi kusoma kitu ukaelewa sioi kukurupuka tu.

Huyo mungu wenu mlifunga siku tatu kuomba hajawasaidia hadi leo unadhani atakuja kuwasaidia sasa hivi? kila kitu mungu mungu haha aliyeletwa na wazungu? au waarabu? Endeleeni kuuchezea huu ugonjwa mtakwisha.
Sioni tatizo katika nilicho andika naona kama hujaelewa, badala yake unatukana, sina akili ya kumtukana mtu. Soma tena vizuri kwa makini nilicho andika, nilikuwa naungana na wewe na kuwasema wafanya maamuzi na mwisho nika conclude kuwa watu wanapaswa kujisaidia wenyewe namna ya kupambana na hili janga na mwisho wamwombe Mungu kwani Mungu anasema jisaidie nikusaidie.
 
Kwa ufupi ni kwamba ugonjwa utazoeleka immunity itakuwepo (tatizo ambalo halisemwi ni kwamba uzembe utapelekea watu tuwapoteze ambao huenda wasingepotea...

Nchi zinazoshauri social distance ni kwamba hakuna taifa lenye uwezo wa kuhudumia watu wengi kwa wakati mmoja kwahio kupunguza maambukizi ni kupata wachache wenye hali mbaya kidogo kidogo hence kuwahudumia...

Suala la kuangalia uchumi wakati kama huu ni kuwa myopic..., sababu wale wateja tunaowategemea wengi (watalii) wakiuona hatufanyi juhudi za kuondoa haya matatizo mwisho wa siku wataacha kuja (kuonyesha unafanya bidiii hata kama haufanyi builds confidence hence kupunguza panic pia)

Tukumbuke mwisho wa siku ni mwili (immunity) ndio inapigana na virus na si vinginevyo (remedies zote za sasa ni kuondoa symptoms kuupa mwili muda ufanye yake) na hata chanjo ikipatikana ni kuupa mwili vile vijidudu ili ivielewe iweze kupambana na hao vijidudu wenyewe pindi wakiingia....
 
Back
Top Bottom