..anasema " 'tujamiiane' kwa kuzingatia social distance..."
..nadhani mheshimiwa hajui maana ya neno "kujamiiana."
..kwenye nchi za wenzetu Mh.Dr.Kigwangala angelazimishwa kujiuzulu kutokana na hiki alichoandika.
Tumecheka sana nahawa watu mpaka wamekua comfortable kupitiliza, inabid kufanyike kitu waanze kutuchukulia serious
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri mzuri,tuchukue kuwa ndio maisha ili tuweze kwenda mbele,vinginevyo tutakuwa na vifo vya ina tatu,njaa,umasikini na corona yenyewe...Hamis Kigwangala ambaye ni daktari wa afya ameandika meengi katika mtandao wake wa instagram. Kwa tafsiri rahisi ni kwamba anashauri herd immunity.
Kutokana na mwenendo wa serikali katika mapambano dhidi ya corona Je,huu ndio msimamo wa serikali?
Mbona maambukizi mapya hayatangazwi,mbona vifo havitangazwi. Upuliziaji wa dawa ya kuua virus huko Dar es Salaam mbona umesitishwa?
Naomba kuwasilisha hoja
----
Kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika...
Ugonjwa wa COVID-19 tunao na ushasambaa nchini kote. Ndugu zetu wenye umri mkubwa ama wenye magonjwa mengine wanaathirika zaidi ama wanapoteza maisha kabisa. Hatuna chanjo wala tiba, we are helpless kama binadamu.
Kipindi kigumu sana kwa walimwengu na ulimwengu. Maisha yetu yamebadilika sana na kamwe hayatokuwa sawa tena, baada ya janga hili. Life has changed and shall remain changed for good; pengine mpaka pale tutakapopata chanjo ama dawa ya kutibu COVID-19.
Kwa sasa tunahitaji utafiti wa namna ya kurudi kwenye maisha yetu taratibu. Utafiti utuambie lini tuwe tayari kurudi kawaida. Na siyo mbali sana. Maana tumechoka kuishi kwa mashaka. Pengine tujue tu kuwa haya ndiyo yameishakuwa maisha yetu. Our ‘new normal’.
Utafiti utuelezee new normal itakuwaje. Wananchi wasisitizwe kuishi kwa kuendelea kuchukua hatua za kujikinga dhidi ya Covid-19. Wajue namna ya kuzika sasa inakuwaje, serikali isaidie kushiriki mazishi ya watu wetu watakaopata bahati mbaya ya kifo dhidi ya ugonjwa huu, wawazike kwa mila na desturi za dini zao kwa kuzingatia misingi yote ya kujikinga dhidi ya maambukizi.
Hotel zifunguliwe, watu tuanze kutembea kwa amani, tujamiiane kwa kuzingatia ‘social distancing’ n.k. Hakuna haja ya karantini tena, hakuna haja ya ‘social isolation’ tena.
Kuvaa barakoa ndiyo our new normal. Tuanze kushona za kifashion fashion hivi. Tuzowee. Kunawa mikono kila wakati nayo Ndiyo ishakuwa another new normal. Tuzowee tu. Kukaa mbalimbali, kuto-shake hands ndiyo ishakuwa new normal. Tuzowee tu. Bajeti yetu tuielekeze kwenye tiba na kuwalinda askari wetu wa mstari wa mbele.
Tuwekeze kwenye kuiboresha mifumo yetu ya kuwatibu wale asilimia chini ya 5 watakaopata ugonjwa serious zaidi. Utafiti utakaoambatana na kupima utusaidie kujua ni watu wangapi wanaoweza kuwa wameambukizwa na wakapona na kiwango cha maambukizi kikoje kiasi tujue kama tunaweza kupata kinga ya jamii yote baada ya muda gani? (Herd Immunity).
Jamii ieleweshwe kuwatenga na kuwalinda wazee na wenye magonjwa mengine. Tunahitaji utafiti haraka turudi makazini kama mwanzoni tuishi na adui bila hofu ila kwa tahadhari kama Dance ya Simba na Swala.
Hatuwezi kuendelea kwenda mbele
Ushauri makini kwamba COVID-19 itabadili tabia na desturi katika maisha ya binadamu.Hamis Kigwangala ambaye ni daktari wa afya ameandika meengi katika mtandao wake wa instagram. Kwa tafsiri rahisi ni kwamba anashauri herd immunity.
Kutokana na mwenendo wa serikali katika mapambano dhidi ya corona Je,huu ndio msimamo wa serikali?
Mbona maambukizi mapya hayatangazwi,mbona vifo havitangazwi. Upuliziaji wa dawa ya kuua virus huko Dar es Salaam mbona umesitishwa?
Naomba kuwasilisha hoja
----
Kupitia akaunti yake ya Instagram ameandika...
Ugonjwa wa COVID-19 tunao na ushasambaa nchini kote. Ndugu zetu wenye umri mkubwa ama wenye magonjwa mengine wanaathirika zaidi ama wanapoteza maisha kabisa. Hatuna chanjo wala tiba, we are helpless kama binadamu.
Kipindi kigumu sana kwa walimwengu na ulimwengu. Maisha yetu yamebadilika sana na kamwe hayatokuwa sawa tena, baada ya janga hili. Life has changed and shall remain changed for good; pengine mpaka pale tutakapopata chanjo ama dawa ya kutibu COVID-19.
Kwa sasa tunahitaji utafiti wa namna ya kurudi kwenye maisha yetu taratibu. Utafiti utuambie lini tuwe tayari kurudi kawaida. Na siyo mbali sana. Maana tumechoka kuishi kwa mashaka. Pengine tujue tu kuwa haya ndiyo yameishakuwa maisha yetu. Our ‘new normal’.
Utafiti utuelezee new normal itakuwaje. Wananchi wasisitizwe kuishi kwa kuendelea kuchukua hatua za kujikinga dhidi ya Covid-19. Wajue namna ya kuzika sasa inakuwaje, serikali isaidie kushiriki mazishi ya watu wetu watakaopata bahati mbaya ya kifo dhidi ya ugonjwa huu, wawazike kwa mila na desturi za dini zao kwa kuzingatia misingi yote ya kujikinga dhidi ya maambukizi.
Hotel zifunguliwe, watu tuanze kutembea kwa amani, tujamiiane kwa kuzingatia ‘social distancing’ n.k. Hakuna haja ya karantini tena, hakuna haja ya ‘social isolation’ tena.
Kuvaa barakoa ndiyo our new normal. Tuanze kushona za kifashion fashion hivi. Tuzowee. Kunawa mikono kila wakati nayo Ndiyo ishakuwa another new normal. Tuzowee tu. Kukaa mbalimbali, kuto-shake hands ndiyo ishakuwa new normal. Tuzowee tu. Bajeti yetu tuielekeze kwenye tiba na kuwalinda askari wetu wa mstari wa mbele.
Tuwekeze kwenye kuiboresha mifumo yetu ya kuwatibu wale asilimia chini ya 5 watakaopata ugonjwa serious zaidi. Utafiti utakaoambatana na kupima utusaidie kujua ni watu wangapi wanaoweza kuwa wameambukizwa na wakapona na kiwango cha maambukizi kikoje kiasi tujue kama tunaweza kupata kinga ya jamii yote baada ya muda gani? (Herd Immunity).
Jamii ieleweshwe kuwatenga na kuwalinda wazee na wenye magonjwa mengine. Tunahitaji utafiti haraka turudi makazini kama mwanzoni tuishi na adui bila hofu ila kwa tahadhari kama Dance ya Simba na Swala.
Hatuwezi kuendelea kwenda mbele
It's so because the majority of blacks live in abject poverty,addicted to alcoholism and drug trafficking...The kind of food they take in also matters..It's different from we Africans,we eat natural food which is a prerequisite for strong immunity and gaining physical strength... Also our lifestyle seems to be favourable over this pandemic though we shouldn't relax...We have to follow what's being said by health officials and also adhere to those rules imposed upon us by the government concerning this tiny virus.Although African Americans are minority in most infected states in USA but Corona mortality is very very high if you compare majority white race.
Dont mess up with Covid-19, just follow cardinal rule of engagement which is social distancing.
Social distance ambayo inapendekezwa ni mita tatu. Ni wazi hiyo hairuhusu kujamiiana kama inavyoeleweka kwa wengi. Lakini anachoelezea hapa ni social intercourse au social interaction ambayo ameitafsiri kama kujamiiana. Hivyo kujamiiana inaweza kuwa ni sexual intercourse katika masuala ya ngono au social intercourse katika mawasiliano ya kijamii...anasema " 'tujamiiane' kwa kuzingatia social distance..."
..nadhani mheshimiwa hajui maana ya neno "kujamiiana."
Nadhan doggy anamaanisha..anasema " 'tujamiiane' kwa kuzingatia social distance..."
..nadhani mheshimiwa hajui maana ya neno "kujamiiana."
Ni rahisi sana kupendekeza hivi kama huna tatizo la kupumua. Ukiwa nalo pendekezo litakuwa la kupigania chanjo ipatikane.Kwa taarifa nchi nyingi duniani zinajipanga kwenda kwenye "herd immunity". Ujerumani, Uingereza, Marekani, Korea Kusini, China wameishaanza kwenda kwenye " herd immunity ". Hata Italia nao wanalifikiria hilo. Kwa maoni yangu, itabidi nchi nyingi, ikiwemo Tanzania itabidi tuelekee huko kwasababu ugonjwa huu hauishi leo na maisha lazima yaendelee.
..anasema " 'tujamiiane' kwa kuzingatia social distance..."
..nadhani mheshimiwa hajui maana ya neno "kujamiiana."
Aangalie Kamasutra zipo ambazo ni safe kwa wakati wa Corona.Labda ana maana baadhi ya positions zisitumike.
Socializing!!..anasema " 'tujamiiane' kwa kuzingatia social distance..."
..nadhani mheshimiwa hajui maana ya neno "kujamiiana."
Maada yoooote we umeona kwenye kujamiiana tu!. hahahaaaha wa bongo noma..anasema " 'tujamiiane' kwa kuzingatia social distance..."
..nadhani mheshimiwa hajui maana ya neno "kujamiiana."
Sioni tatizo katika nilicho andika naona kama hujaelewa, badala yake unatukana, sina akili ya kumtukana mtu. Soma tena vizuri kwa makini nilicho andika, nilikuwa naungana na wewe na kuwasema wafanya maamuzi na mwisho nika conclude kuwa watu wanapaswa kujisaidia wenyewe namna ya kupambana na hili janga na mwisho wamwombe Mungu kwani Mungu anasema jisaidie nikusaidie.Kuelezea herd immunity ni nini haimaanishi naungana nayo, natoa definition watu wasiojua ni nini waelewe, acha ushamba uwe unajitahidi kusoma kitu ukaelewa sioi kukurupuka tu.
Huyo mungu wenu mlifunga siku tatu kuomba hajawasaidia hadi leo unadhani atakuja kuwasaidia sasa hivi? kila kitu mungu mungu haha aliyeletwa na wazungu? au waarabu? Endeleeni kuuchezea huu ugonjwa mtakwisha.