Amesha Restore SettingsNadhani aliapa kitambo tu, ila alisahau...
Sasa ndio kakumbuka kua hapo zama za kale, alikulaga kiapo π±
Huyu ni mtu mbaya sana. Anaenda na biti. Ogopa sana mtu wa dizaini hii. Yawezekana kaamua kuwa mkweli ila upepo ukichenji hujui atakua timu yako au anatoboa boti mlilopanda...Amesha Restore Settings
Back to Factory Settings...Amesha Restore Settings
Hahahahah ndio maana alistukiwa akapigwa chiniHuyu ni mtu mbaya sana. Anaenda na biti. Ogopa sana mtu wa dizaini hii. Yawezekana kaamua kuwa mkweli ila upepo ukichenji hujui atakua timu yako au anatoboa boti mlilopanda...
Waziri wa Maliasili na utalii π€£
Halafu device (kichwa)ilipowaka ikawaka kwa lugha ya kichina [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Back to Factory Settings...
Watu walijishikisha akili ktk harakati za kusifu na kuabudu!Nineamini mwendazake alitushika akili. Naona akili za watu wengi zimeanza kurudi.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app