Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

walifanya na wanafanya siasa za kuendana na upepo na sio za kuwakilisha wananchi, kisa walitaka wamfurahishe mwendazake asiwatumbue na awapandishi vyeo kwa maslahi ya matumbo yao na familia zao.
 
Ndugu zangu Watanzania kweli kama Mbunge wa Nzega kasema hayo tumzomee kwa pamoja. Hivi kweli nyungu haisaidii. Tobaaa!. Muhimbili watoe zile nyungu . Angetwambia ni hatua gani ya ugonjwa wa COVID 19 mgonjwa hasaidisi na nyungu tungemuelewa. Watu wamepona/kuzuia kwa kutumia nyungu korona ya mwaka 2020. Leo anasema nini.

Mh Magufuli sera yake dhidi ya korona ilikuwa ya manufaa kwa Watanzania walio wengi sio walio na vitega uchumi vya kuwalisha hadi uzee.

Magufuli nenda msimamo wako dhidi ya korona ulikuqa sahihi.

Jamani LENGO la watu kama KINGWANGALA sio jema. Tuwr macho.
 
Uko sahihi 100%
Ndio maana kupata katiba mpya ni muhimu sana.
Kigwa, yuko timamu, tatizo la hii nchi ni mfumo, wateule wanacheza mziki wa aliyewateua, wanaangalia falisafa ya namba moja anataka nini wao wanapita mule kulinda ugali wao. Kwa hiyo mabadiliko ya utawala wa awamu ya sita yanamfanya Dr.Kigwa awe huru na kusema kile kilichochkweli moyoni mwake kama medical scientist.

Sent from my Redmi Note 3 using JamiiForums mobile app
 
uyu jamaa inabidi akapimwe mkojo kwanza nahc anamatatizo kibao
 
dah, 😂😂hivi kumbe hawa watu walikuwa wamejinyamazisha tu, huku wakiona nchi inavyoenda kombo, dah, watu wasaliti kinyama😂😂😂,hata siku 21 hazijaisha washaanza kwenda kinyume nae😢😢😢
 
Kwa hiyo tunaanza kukubaliana kwamba kulikuwa na UDIKTETA kwenye hii nchi, kwamba ilikuwa ukisema yasiyompendeza MTAKATIFU adhabu inakuandama, Lissu alikuwa sahihi.
lakini alipaswa kukaa kimya kulinda heshima yake, kumbuka kuna kitu kinaitwa kuwajibika kwa pamoja.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahahaha just hahahaha
 
Mimi naona tofauti kidogo..kigwangala Ni jasiri..Ni mkweli..aliona Ni ngumu kumkosoa yule jamaa kwa Sera mbovu.. lakini kwasasa kaona si vizuri kuendelea kukumbatia ujinga..jamaa Ni mkweli sio mnafiki..apongezwe
Asingeingia kwenye hyo mashine
Basi
Lakini aliingia
Udaktari wake uko wapi
Inamaana aliingia bila hata kujua inafanya vp Kaz? Na yet n daktari,,
 
[emoji443][emoji445] Tanzania Tanzania.
Ninakupenda kwa moyo woteee [emoji445][emoji443]
IMG-20210404-WA0038.jpg
IMG-20210404-WA0025.jpg
 
Hana lolote, angekuwa bado ni wa waziri kipindi zinawekwa lazima angekwenda kufukizwa, hebu atulie tuna mengi ya kufanya

Hasira za kukosa uwaziri hizo. Anatafuta kila nafasi awekwe mezani na yeye kabla mama hajamaliza kupanga safu yake vizuri. Huyu jamaa bwana huwa akili zake anazijua mwenyewe!! Hapo full wivu kwa waliokwisha teuliwa.

Na anavyopenda mitandao sasa, JPM kaondoka ndio atakeshea huko huko. Maana aliyepiga stop hayupo. Kama mshamba fulani hivi.
 
Back
Top Bottom