DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hapo Muhimbili mmesabibisha watu wafe bure ebu vunjeni hilo dude la kujifukiza kum make zenu nyie mujimbili mbuzi jabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio unafiki, ni uoga aliokuwa nao mwanzo. Na viongozi wengi walikuwa wanaogopa kuvaa barakoa au kukosoa mbinu za marehemu kulinda matumbo yao.Huyu Kigwangalla mbona alishaingia kwenye hiyo mashine ya nyungu?
Sijui huyu Kigwangalla ni dini gani maana siyo kwa unafiki huu!!!
mbona unalichukulia hili personal ndugu? Hamchukii Magufuli, ila anba mtazamo tofauti na namna ya kupambana na ugonjwa wa Corona, sio uadui huoKingwangala mnafiki sana kuliko shetani, huyu huyu alikuwa ameandika insta kuwa the Late JPM anamlilia sana na hakuna kiongozi kama Magu, akataja sifa lukuki ikiwemo alikuja kumuona akiwa mgonjwa, mara alimpa ndege alipofiwa na mtoto wake, leo hata maombolezo hayajaisha kashamgeuka, mnafiki hana tabia za kujificha, unafiki huwa unaonekana wazi wazi.. Hivi ndio inafaa Mama Samia aangalie hawa watu awajue, who is who.. Kifo cha Magu kinawaonyesha wengi sura zao halisi. Kaa mbali na wanafiki
View attachment 1742973
Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate hatua za kujikinga na #COVID19 ikiwemo kupata chanjo.
Kigwangwalla amesema wataalamu wa Afya wana jukumu la kumshauri Rais Samia na yeye kama mbunge watalizungumza bungeni ili kuanza kufuata njia za kisayansi.
Amesema si sawa kwa taasisi kubwa kama Muhimbili kuwa na mashine za kupiga nyungu, ni muhimu watu kufuata hatua a afya kama kuvaa barakoa nk
Daaaah 😂😂😂Kwa siku kadhaa nnaendelea kushuhudia waliokua Wandamizi ktk Serikali ya Magufuli wakitoa statement za kukosoa baadhi ya mamabo aliyoyaamini. Moja wa hao ni Kigwangala lkn enzi hizo aliunga mkono kila kitu, inamaana walikua wakilinda ugali na matumbo yao na sio utumishi. Ilikua kwamba kama hawakubaliani na msimamo wa mzee wajiuzulu lkn balaa waliendelea kuunga mkono na sasa wameonyesha how stupid they areView attachment 1743049View attachment 1743050
... uko sahihi! Kama mnafiki mkuu hayupo lazima kundi la wanafiki liyumbe; halijui lielekee kulia au kushoto; liende mbele au lirudi nyuma. Kila mmoja katika kundi lazima aongee lake maana mswaga kundi hayupo tena.Jiwe mwenyewe ndio aliwatengenezea huo unafiki
Shauri yako hujuwi magufuli kilichomuua ni ujuaji na ubishi kama unaouleta hapa?Ukweli gani?
Uingereza Jana wametangaza hawataki lockdown Corona ni mafua tu
Mbowe yuko wapi?Shauri yako hujuwi magufuli kilichomuua ni ujuaji na ubishi kama unaouleta hapa?
Machame anakula pasaka na familia yake.Mbowe yuko wapi?
Anaugua corona DubaiMachame anakula pasaka na familia yake.