EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Ungeyasema hawa wakati jiwe yupo angekunyoa kila sehemu yenye nywele mwilini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeyasema hawa wakati jiwe yupo angekunyoa kila sehemu yenye nywele mwilini
Yupo mtu mmoja anasema sarakasi hazipigwi huku mpuga sarakasi akiwa amevalia taulo.Kwa siku kadhaa nnaendelea kushuhudia waliokua Wandamizi ktk Serikali ya Magufuli wakitoa statement za kukosoa baadhi ya mamabo aliyoyaamini. Moja wa hao ni Kigwangala lkn enzi hizo aliunga mkono kila kitu, inamaana walikua wakilinda ugali na matumbo yao na sio utumishi. Ilikua kwamba kama hawakubaliani na msimamo wa mzee wajiuzulu lkn balaa waliendelea kuunga mkono na sasa wameonyesha how stupid they areView attachment 1743049View attachment 1743050
Kama huna sifa ya UNAFIKI wewe siyo Mtanzania!Lakini tuacheni utani wakuu, hivi dunia hii kuna watu wanafiki kama Watz.?
wanatafuta pakula haoKwa siku kadhaa nnaendelea kushuhudia waliokua Wandamizi ktk Serikali ya Magufuli wakitoa statement za kukosoa baadhi ya mamabo aliyoyaamini. Moja wa hao ni Kigwangala lkn enzi hizo aliunga mkono kila kitu, inamaana walikua wakilinda ugali na matumbo yao na sio utumishi. Ilikua kwamba kama hawakubaliani na msimamo wa mzee wajiuzulu lkn balaa waliendelea kuunga mkono na sasa wameonyesha how stupid they areView attachment 1743049View attachment 1743050
Hakika unaweza kutabiri ubovu wa akili ya mtu kwa kuangalia usoni. Naangalia pua na lips za huyu Kingwangala naona kama tayari aliumbwa na ujinga wa aina fulani. Yawezekana mazingira yamesaidia sana kufanikiwa baadhi ya mambo lakini nature inarudisha ujinga huo kila nafasi inapopatikana.View attachment 1742973
Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate hatua za kujikinga na #COVID19 ikiwemo kupata chanjo...
Hana ujasiri wala ukweli.. Ni mchumia tumbo.. Yote anayofanya ni kwa maslahi ya tumbo lake..Mimi naona tofauti kidogo..kigwangala Ni jasiri..Ni mkweli..aliona Ni ngumu kumkosoa yule jamaa kwa Sera mbovu.. lakini kwasasa kaona si vizuri kuendelea kukumbatia ujinga..jamaa Ni mkweli sio mnafiki..apongezwe