mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,230
- 9,889
' Nina uhakika hata Chato itaongoza Kwa magofu kama Kwa Mobutu'.kwako mwalimu Kashasha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
' Nina uhakika hata Chato itaongoza Kwa magofu kama Kwa Mobutu'.kwako mwalimu Kashasha
Yupo kwenye LimboTangu mwendazake aondokoke naona kapooza hana matukio tena
Hujakaa na wanaijeriaMtanzania hasa mtanganyika ndio mtu anaeongoza kwa unafki duniani.
Itakuwa alilazimisha Bora angekunywa BUPIJI. Mimi haya matakataka sitakaa niyanywe.Maccm mnanikosha aiseee. Ile mashine ndo ilichangia kwa ukubwa msiba wa Jiwe maana alivyoingia humo kesho yake ikawa mahututi na bai bai.
Weitaaaaa ongeza chupaaaaa
Mungu alikuepo hata kabla ya magufuli na ataendelea kuwepo
Panya yupi unaongelea aliye kufa au aliye HaiMsimshambulie Hamis. Alichofanya ni kujitoa muhanga tu na "kumfunga panya kengele" maana members wengi kwenye cabinet wana mawazo kama yake ilia hawana guts za kutoka na kusema. Hamis kwa kuwa sasa sio Waziri, he dont have much to lose, atleast for now
View attachment 1742973
Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate hatua za kujikinga na #COVID19 ikiwemo kupata chanjo.
Kigwangwalla amesema wataalamu wa Afya wana jukumu la kumshauri Rais Samia na yeye kama mbunge watalizungumza bungeni ili kuanza kufuata njia za kisayansi.
Amesema si sawa kwa taasisi kubwa kama Muhimbili kuwa na mashine za kupiga nyungu, ni muhimu watu kufuata hatua a afya kama kuvaa barakoa nk
Senses returning to the normal
ahahaaah kweli kabisaWanafiki ni wengi na bado wanakuja.
Sema wilikuwa na jinamizi kipindi kile. Ndoto za kutisha, hata mashujaa walitahayari.. panya wataendelea kutoka shimoni
Ningemtukana tusi kubwa, lakini naogopa kupigwa burn. Niishie kusema huyu mpuuz anaongoza kwa unafiki na uzandiki.View attachment 1742973
Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate hatua za kujikinga na #COVID19 ikiwemo kupata chanjo.
Kigwangwalla amesema wataalamu wa Afya wana jukumu la kumshauri Rais Samia na yeye kama mbunge watalizungumza bungeni ili kuanza kufuata njia za kisayansi.
Amesema si sawa kwa taasisi kubwa kama Muhimbili kuwa na mashine za kupiga nyungu, ni muhimu watu kufuata hatua a afya kama kuvaa barakoa nk
Hahahaaah ngoja tuwaone naoNikikumbuka ile scene ya kulamba malimao na kujifukiza mubashara, ngoja tuwasubiri nao wapige u.turn tuone
Kwani kigwangwala ni mtanzania?Lakini tuacheni utani wakuu, hivi dunia hii kuna watu wanafiki kama Watz.?
Huyu Kigwangalla mbona alishaingia kwenye hiyo mashine ya nyungu?
Sijui huyu Kigwangalla ni dini gani maana siyo kwa unafiki huu!!!