Hongera Sana Daktari.Mnafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera Sana Daktari.Mnafiki
Wachache acha kupotosha mfano marekani walipowe ni Zaid ya million 150+ waliokufa kutoka na adverse drug reaction hawafiki 1000 kwa hiyo huwez sema chanjo ni mbayaHuyu akili anazo hajasikia watu wamedanja sababu ya chanjo fala kweli hili
HahhahhahaahaSiku nikisukumiziwa kwenye uraisi hivi viumbe jamii ya kigwangala nitavianzishia mahakama ya unafiki na nitajenga ZOO (si jela) kubwa ya kuwaweka wakishahukumiwa maana unafiki wao ni kero kwa maendeleo ya binadamu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
weakness yake moja ni kupenda sifa. na kuona anasifiwa hata kama mtu huyo ni mnafki.Ndio maana kuna watu wanamuita mshamba, Mtu mzima unashindwaje kufahamu binadamu anapokusifia kinafiki?
Huyu Kigwangalla mbona alishaingia kwenye hiyo mashine ya nyungu?
Sijui huyu Kigwangalla ni dini gani maana siyo kwa unafiki huu!!!
Magufuli alikuwa Simba wa vita ,asingethubutu kuongea huu upuuzi mbele yake.Ukisikia unafiki ndio huu sasa.alishindwa nini kuonesha msimamo wake kabla magufuli hajafa?
Aamke aje wapi mkuu?acha tupumueDah Magu amka uone waganga njaa hawa walivyo wanafiki. Huu unafiki wa kiwango cha juu sana sana.
Hivi Magu angekuwa hai ungethubutu hata kuacha mdomo wako wazi?
Hawa ndio viongozi wanaongoza watanzania.
Hivi mnajua hayo manyungu na unafiki wenu umeuza watu wangapi hadi sasa?
problem is watu wanadandia habari juu juu. hawataki kusoma kiundani.Wachache acha kupotosha mfano marekani walipowe ni Zaid ya million 150+ waliokufa kutoka na adverse drug reaction hawafiki 1000 kwa hiyo huwez sema chanjo ni mbaya
Nazidi kuamini yale maneno kuwa usimwamini mwanasiasa hata km ni mzazi wako.Huyu Kigwangalla mbona alishaingia kwenye hiyo mashine ya nyungu?
Sijui huyu Kigwangalla ni dini gani maana siyo kwa unafiki huu!!!
Yaani we acha tuMataga wameanza kumkataa marehemu pombe live bila chenga.
Kha!kha!,Km Ndivyo Basi waanze Kwanza na Jaffo.Wale wataalamu waliojenga mashine ya nyungu Muhumbili wachukuliwe hatua. Kila mtu awajibike kwa matendo yake.
Ndivyo ilivyo mkuu, Mwanasiasa wa Bongo muogope km Ukoma,hawafai hao ndio maana Mimi huwa siwapendi kabisa.Kama ni kweli kasema hivyo duuh, hawa Viongozi wetu hata siwaelewi, na wa Fedha nae kaanza kuongea.
Mimi najiuliza hivi kama waliona yasiyo sawa wakati Mwendazake bado akiwepo kwa nini hawakuthubutu kuhoji?
Hii inaonesha kuwa kwao madaraka ni bora kuliko Wananchi...kwa hiyo wao tukiumizwa sisi huwa wanatuchungulia tu kwa jicho pembe kulinda ugali wao.
Nape alijaribu kupaza sauti kuhusu Kodi wakati bado Mzee akiwepo lakini nadhani naye ni kwa vile alishaona hana cha kupoteza tena.