Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

Huyu Kigwangalla mbona alishaingia kwenye hiyo mashine ya nyungu?

Sijui huyu Kigwangalla ni dini gani maana siyo kwa unafiki huu!!!
kichwa yake inapata moto Circuit
Ina tatizo la kimfumo!

shutterstock_564137794-1024x683(1).jpg
 
Dah Magu amka uone waganga njaa hawa walivyo wanafiki. Huu unafiki wa kiwango cha juu sana sana.

Hivi Magu angekuwa hai ungethubutu hata kuacha mdomo wako wazi?

Hawa ndio viongozi wanaongoza Watanzania.

Hivi mnajua hayo manyungu na unafiki wenu umeuza watu wangapi hadi sasa?
 
Back
Top Bottom