Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,251
- 6,299
Hata marehem hajapasuka tumbo wameanza kumkana? Hakika akiamka anawakata vichwa wote...haiwezekani wamfanyie hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani ali apply ile kanuni ya kunguru muoga huishi miaka 100 mwisho wa siku kama ulivyosema mnafiqKwa nini haya hakuyasema mwanzo?
Binadamu tumejaa unafiki wa hali ya juu......
Mimi pia naona kwakweli.Sisi ni no 1 mkuu kwa unafiki
Kama hayo maneno ameongea Said Nassor Bagaile aka Hamis Kigwangallah basi huyo mtu ni hatari ,mama samia amuepuke kabisa kwenye utawala wake.Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate hatua za kujikinga na #COVID19 ikiwemo kupata chanjo....
Watamkana mara 3 .....Kabla Jogoo hajawika.......
Sure mkuuMimi pia naona kwakweli.
Mwendazake huko aliko haamini macho yakeSure mkuu
Thubutu! Hata kama kufa hakujui makaburi hayaoniAngekuwepo hayatti angeweza kuongea hivi
Mataga wameanza kumkataa marehemu pombe live bila chenga.
Ndiye hiyu jamaa?Huyu Kigwangalla mbona alishaingia kwenye hiyo mashine ya nyungu?
Sijui huyu Kigwangalla ni dini gani maana siyo kwa unafiki huu!!!
Aliharibu sn nchiMwendazake huko aliko haamini macho yake
Aiseee[emoji23][emoji23][emoji23],hii ni zaidi ya maigizoNdiye hiyu jamaa?View attachment 1742906View attachment 1742908
Maccm mnanikosha aiseee. Ile mashine ndo ilichangia kwa ukubwa msiba wa Jiwe maana alivyoingia humo kesho yake ikawa mahututi na bai bai.Huyu Kigwangalla mbona alishaingia kwenye hiyo mashine ya nyungu?
Sijui huyu Kigwangalla ni dini gani maana siyo kwa unafiki huu!!!