Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

Jamani hata siku 21 hazijaisha.....
 
Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate hatua za kujikinga na #COVID19 ikiwemo kupata chanjo....
Kama hayo maneno ameongea Said Nassor Bagaile aka Hamis Kigwangallah basi huyo mtu ni hatari ,mama samia amuepuke kabisa kwenye utawala wake.
 
Huyu Kigwangalla mbona alishaingia kwenye hiyo mashine ya nyungu?

Sijui huyu Kigwangalla ni dini gani maana siyo kwa unafiki huu!!!
Ndiye hiyu jamaa?
image_search_1617525511878.jpg
image_search_1617525508064.png
 
Huyu si alituambia habari za head to head immunity au?

Viongozi wengi wa kisiasa wamejaa unafiki na uchumia Tumbo,kama kingwalla alikuwa hakubaliani na Sera za JPM ilipaswa ajiuzulu kipindi kile ni waziri,lakini sababu ya njaa na unafiki aliendeleea kuwepo,

Huyu mtu kama anadhani mama samia atampa uwaziri asahau,ni mpuuzi sana

Bora ya January na Nape ambao walionekana kumpinga JPM hadharani,hawa watu si wanafiki
 
Back
Top Bottom