kichwa yake inapata moto CircuitHuyu Kigwangalla mbona alishaingia kwenye hiyo mashine ya nyungu?
Sijui huyu Kigwangalla ni dini gani maana siyo kwa unafiki huu!!!
Namuonea huruma Waziri Dorothy sijui ataficha wapi sura yake.Waziri wa Afya na naibu wake sijui na wao watamkana mwendazake.....
180°Kabla Jogoo hajawika.......
Sisi ni no 1 mkuu kwa unafikiLakini tuacheni utani wakuu, hivi dunia hii kuna watu wanafiki kama Watz.?