Uweri the second
Member
- Mar 11, 2021
- 35
- 31
Hana mpya huyuuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa siyo swala la dini hilo.Unafiki hauna dini mkuu..........
Hapo mtoe JanuaryHuyu si alituambia habari za head to head immunity au?
Viongozi wengi wa kisiasa wamejaa unafiki na uchumia Tumbo,kama kingwalla alikuwa hakubaliani na Sera za JPM ilipaswa ajiuzulu kipindi kile ni waziri,lakini sababu ya njaa na unafiki aliendeleea kuwepo,
Huyu mtu kama anadhani mama samia atampa uwaziri asahau,ni mpuuzi sana
Bora ya January na Nape ambao walionekana kumpinga JPM hadharani,hawa watu si wanafiki
Kabla mchwa hawajaanza kula mtu analiwa huku na mtuKabla Jogoo hajawika.......