Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

Dkt. Kigwangalla: Mashine ya nyungu iliyo Muhimbili ivunjwe, viongozi wavae barakoa

Angekuwepo mngesema haya? Nyie mnataka hayati mumfufue kabla hata maua hayajakauka..!
 
Ipo siku UV CCM wataseka magufuli walikuwa Rais wa Ovyo kuliko wote. Ngoja muone ni suala la muda tu.
Rej. Maneno ya Heri James kuomba Radhi kwa jiaba yao
 
Daaah!! hii dunia ni balaa tupu.Watanzania ni watu wa kipekee kabisa
 
Ila kigwangala ana unafiki sana huyu mchunga ng'ombe wa Tabora, anaaibisha sana jamii ya wafugaji. Kwa mwaka mzima na miezi since COVID19 imeanza alikua anatetea ugali na kuudanganya umma ili abaki kua Waziri, kibaya zaidi this ignorant imbecil is a Doctor aisee, na ni kiongozi ana wananchi wanamtegemea afikishe maendeleo jimboni "smdh"

Kigwangalla wewe bado kijana, huu upumbavu wa aina yako hatutausahau ipo siku tutakubana vizuri kwenye majukwaa huko (only if you'll still get those multiple opportunities to be on one kabla haujafyekwa nafasi huko Chamani kwenu) utueleze ulitoa wapi ujinga ulokua nao Pre March 2021 mana ni kama ulikua possessed na mapepo.
 
Msimshambulie Hamis. Alichofanya ni kujitoa muhanga tu na "kumfunga panya kengele" maana members wengi kwenye cabinet wana mawazo kama yake ilia hawana guts za kutoka na kusema. Hamis kwa kuwa sasa sio Waziri, he dont have much to lose, atleast for now
Dr Ngungulile ndiye shujaa, alisema madhara ya kujivukiza katika mfumo wa hewa. Mwendazake akamtumbua.
 
Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate hatua za kujikinga na #COVID19 ikiwemo kupata chanjo.

Kigwangwalla amesema wataalamu wa Afya wana jukumu la kumshauri Rais Samia na yeye kama mbunge watalizungumza bungeni ili kuanza kufuata njia za kisayansi.

Amesema si sawa kwa taasisi kubwa kama Muhimbili kuwa na mashine za kupiga nyungu, ni muhimu watu kufuata hatua a afya kama kuvaa barakoa nk

===
Huu ndio uhuru wa watoto wa Mungu. Mazingira yanapobadilika mambo mengi hubadilika pia.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikusaidie [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji6][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo tunaanza kukubaliana kwamba kulikuwa na UDIKTETA kwenye hii nchi, kwamba ilikuwa ukisema yasiyompendeza MTAKATIFU adhabu inakuandama, Lissu alikuwa sahihi.

Mkuu hapana sababu Kuuu huyo jamaa alipigwa Chini Uwaziri full stop
 
Ni msee..Kati ya misimamo michache ninayokubaliana na hayati ni huu,au hata kama ikiletwa isiwe mandated...kwanza hawana hata uhakika inaweza ikazuia variants zote
 
Huyu jamaa kapitiliza kwenye unafiki, hana kazi nyingine ya kufanya zaidi ya siasa??
 
Msimshambulie sana maana watu wengi walikuwa robots kipindi cha JPM. Ubongo ulifanyiwa modification kuendana na amiri jeshi.
 
Kama Mashine hii ikivunjwa isivunjwe mashine tu bali na wizara ya Afya na hizo pesa zilizoitengeneza watu wakatwe kwenye mishahara yao
 
Kingwangala mnafiki sana kuliko shetani, huyu huyu alikuwa ameandika insta kuwa the Late JPM anamlilia sana na hakuna kiongozi kama Magu, akataja sifa lukuki ikiwemo alikuja kumuona akiwa mgonjwa, mara alimpa ndege alipofiwa na mtoto wake, leo hata maombolezo hayajaisha kashamgeuka, mnafiki hana tabia za kujificha, unafiki huwa unaonekana wazi wazi.. Hivi ndio inafaa Mama Samia aangalie hawa watu awajue, who is who.. Kifo cha Magu kinawaonyesha wengi sura zao halisi. Kaa mbali na wanafiki
Politics, especially here in Tanzania, is sometimes about making fun or a fool of yourself in order to make a living, impress your boss, getting an appointment or being promoted regardless of your oath, profession or even one's religious belief.

Tuna hasara sana.
 
Back
Top Bottom