Umesoma hoja ya mleta mada? Kwahiyo fomu moja ya ccm ndiyo inaifanya chaema kukiuka demokrasia ndani ya chama?Vipi suala la fomu moja ya urais ndani ya chama chake hajaligusia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma hoja ya mleta mada? Kwahiyo fomu moja ya ccm ndiyo inaifanya chaema kukiuka demokrasia ndani ya chama?Vipi suala la fomu moja ya urais ndani ya chama chake hajaligusia?
Chadema inajipambanua kuwa chama mbadala wa ccm, Sasa wananchi wanapoona uozo na kuukemea usijifiche kwenye misemo na methali. Kwa kufanya hivyo mnaibagaza chadema. Jibu hoja, kwann mwenyekiti haondoki madarakani?Pilipili usizozila za kuwashia nini,pambana na hali yako angalau uchawa ukupe cheo awamu hii umesahaulika mno. ulizoea kacheo
Umeshindwa kujibu hoja ya mtoa hoja unaleta vioja. Kwann Mbowe haondoki madarakani kama demokrasia inavyotaka?Kwani yeye kinamuwasha nini kuona Mbowe ni mwenyekiti, unda chama chako ukae baada ya mwaka kisha uachie uenyekiti.Nyinyi wenyewe sisiem tangu uhuru mpaka leo hamtaki kuachia madaraka na umasikini unazidi kuongezeka.
ni lazima ufuatiliwe kwa makini na kwa ukaribu zaidi ili kushuhudia mtanange na anguko la chadema vizuri zaid, kuliko kuhadithiwaNi wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe
Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema
Anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule
Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.
View attachment 2995118

Kijani lini mtaacha unaa🤣😆😆😆😆😆 Yaani Mbowe aanzishe Saccos yake afu useme amuachie mtu wa kuja kutoka huko Nccr Lisu?
Hivi na yeye ataacha lini ubunge wa jimbo la Nzega Vijijini?Fomu moja ndani ya chama dola kongwe inamletea mawazo, wakati ndoto yake ni kuwa rais kupitia CCM
View attachment 2995124
Katika watu niliokuwa nimeamua kuwaheshimu ni Kigwangala Hamisi lakini Kwa point hii tu kaonesha utoto. Haiwezekani chama hakikuhusu kikunyime usingizi. Unataka mwenyekiti abadilike ili upate nn c uache waharibu ili upate faida na cheo unachopambania. Uchawa haukufai kabisa unajivunjia heshima. Baada ya hapo unijibu Kinana atapisha wengine lini mbona anatoka na kurudi watu wameisha? Mbona wewe hauachii Jimbo kwani msomi uko pekee yako Nzega? Hv mwakani unagombea tena c ndiyo baba!!!. Acha hizo!Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe
Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema
Anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule
Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.
View attachment 2995118
Tupo kwenye mapambano, hatuwezi, kumbadilisha kamanda mkuu, wakati wa vuguvugu na mapambano dhidi ya, apartheid kule SA, kiongozi wa ANC alikuwa Mandela, na wasaidizi wake, alifungwa miaka 27 jera! Lakini alipotoka, kama chairman akapewa nafasi awe Raisi!Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe
Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema
Anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule
Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.
View attachment 2995118
Katiba yao haijaweka ukomo.Umeshindwa kujibu hoja ya mtoa hoja unaleta vioja. Kwann Mbowe haondoki madarakani kama demokrasia inavyotaka?
Wapi Chadema wamekiuka demokrasia ndani ya chama chao? Hakuna ukomo hivyo hawajakiuka.Umesoma hoja ya mle ya ta mada? Kwahiyo fomu moja ya ccm ndiyo inaifanya chaema kukiuka demokrasia ndani ya chama?
Jamani Makonda amekosa nini tena hadi afikishwe mahakamani?Huyu mfoji vyeti afikishwe mahakamani
Chama gani cha demokrasia kinakwepa misingi ya kidemokrasia ya kuachiana kijiti? Kukosa ukomo ni ukomunisti huoKatiba yao haijaweka ukomo.
CCM ni Wahuni watupu. Lipumba yupo pale toka enzi hizo haguswi. Cheyo Mzee wa mapesa kaanzisha Chama mpaka kimemfia yeye hapana. Wao wa namuona Mbowe tu.Vipi suala la fomu moja ya urais ndani ya chama chake hajaligusia?
Unaa ndio nini? Kijani kibichi au kipi?Kijani lini mtaacha unaa🤣