Pre GE2025 Dkt. Kigwangalla: Mbowe hataki kuachia Uenyekiti, alimfukuza Zitto na sasa anamfanyia figisu Lissu. Tumwite Ayatollah Mbowe au Kabaka Mbowe

Pre GE2025 Dkt. Kigwangalla: Mbowe hataki kuachia Uenyekiti, alimfukuza Zitto na sasa anamfanyia figisu Lissu. Tumwite Ayatollah Mbowe au Kabaka Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.

View attachment 2995118
Jimbo la Nzega vijijini limekushinda, unatafuta ya Mbowe.
PhD za hovyo 😏
 
Post ya 14 hii, hakuna aliyejibu hoja ya Kigwangala. Hivi ni kwanini huwa mtu akimuongelea Mbowe na kuachia uenyekiti huwa ni lazima aliyetoa hilo wazo ashambuliwe!?,hivi ni kweli hakuna mtu mwingine chadema anayeweza kuwa mwenyekiti wa chama zaidi ya Mbowe!?!?..., Hivi chadema wote wanaona ni sawa Mbowe awe mwenyekiti wa kudumu!?,humu huwa namkubali Tindo tu kwenye suala la mwenyekiti kuongoza bila kikomo.
Acheni kumsakama Mzee Mbowe, hicho ni chama chake anayetaka uenyekiti akaanzishe chama chake big up Zitto, lipumba, Rungwe, na wengineo kwani mmesikia wanabwabwaja.
 
Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe

Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema

Anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule

Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.

View attachment 2995118
safi sana hii ndiyo maana halisi ya democrasia kuachiana madaraka
 
JF imrjaa watu wenye werevu. Wamejaa wapiga kelele. Badala ta kujadili hoja ya Kigwangala, wanamjadili Kigwangala.

Hata kama mtu anaweza kuwa na mapungufu take, lakini hiyo hajondoe ukweli kuwa kuna wakati anaweza kutoa hoha ya msingi. Tuiangalie hoja tusiangalie mtoa hoja.

Kwa ujumla, suala la Mbowe kung'ang'ania madaraka hata baada ya kukaa kwente nafasi hiyo zaidi ya miaka 20, kumewavunja sana moyo watu wengi, wakiwemo viongozi wenzake, wanachama na wapenzi wa chama.
 
Upumbavu mtupu.
Unataka chadema iwaige ACT?
Ccm inatambua siku mbowe akitoka uenyekiti Basi chama kimekufa na huo ndio ukweli. Lisu Hana uwezo wa hata kukaribiana na zito. Halafu watu hawaelewi kwamba lisu anaelimu tu na sio kiongozi. Lkn mbowe Ni kiongozi mzuri Sana.
 
Mbadilisheni kiongozi nyie CHADEMA uongozi ni kubadilishana mmekalia MBOWE MBOWE Acheni uchagalism...mnadhani hatuwachori kwahyo ikitokea mnapewa nchi hamtokabidhi mwingine na Uchagalism wenu...mnabisha hoja za msingi Kigwangala alizozitaja...Enyi Chagalism ninani aliyewaroga?hata kuzipinga hoja za msingi?Mwaachieni Lisu japo naye sijaona shida hamna viongozi mahiri kwenye Chama hicho.
 
Back
Top Bottom