Kwerikabisa.tujifuzeWatu wanafanya kazi kwa bidii nyinyi munajiaminisha vya kutoa kafara. Umewahi kumuona muhindi akiweka mtu yeyote kwenye kupokea fedha za duka lake? Ni yeye au mkewe, hesabu kama kawa kila jioni, kula kulala kiovyoovyo mpaka hapo kitakapoeleweka na biashara ikasimama.
Sisi ukipata kidogo unataka uonekane una pesa na ndugu wote wamejaa hapo unadhani hiyo biashara utafanikiwa? Halafu ndiyo unakuja na mikwara ya kurogwa na makafara.
Ndiyo maana hatuendelei