Dkt. Kigwangalla: Mo Dewji ni mfanyabiashara Mwenye Uwezo mdogo sana wa kufikiri, nimeamua kumpuuza!

Kwerikabisa.tujifuze
 
Siyo kweli!!

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Kwani Dewji alipata huo uwezo wa kiuchumi kwa uwezo mkubwa wa kufikiri ?

Muhammed Dewji IS NOT a self made tycoon.
Hata Dangote tu source ya utajiri ni familia... real self made ni wacchache sana duniani
 
Ni kama mtangazaji anakaziaπŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
Wewe mwenye uwezo mkubwa WA kufikiri unamiliki biashara gani KUBWA Barani Afrika?
 
Mwenye uwezo mdogo anaongoza kampuni kubwa ya METL yeye sasa hatujui anafanya siasa kwenye kigwanocs
 
πŸ’πŸ’πŸ’
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…