Dkt. Kikwete: Ninaandika kitabu cha historia yangu ambacho ninaelezea mambo mengi hata yale msiyoyajua!

Dkt. Kikwete: Ninaandika kitabu cha historia yangu ambacho ninaelezea mambo mengi hata yale msiyoyajua!

Hivi unaweza kuuza miaka yako kwa Lucifer, ebu nielimishe hapa
Ungeishi miaka 90 lakini unataka utajiri kupitia siasa tena uongozi mkubwa!lucifer anakuambia nipe miaka kumi ya kunitumikia nikuachie 80 ya utajiri,umaarufu na uongozi!unakubali unapata unachotaka!!muda ukifika unaenda kuzimu kutumikia miaka kumi kwa lucifer!!huku duniani wanajua umekufa tena wanakuombea mema!!!
 
Tujitahidi kuelewa kiswahili kiongozi, mi nimeandika kila anayetoa kitabu hakai muda mrefu( Mengi na Mkapa), huyo mzee ametoa kitabu gani sasa?

Na mimi nakuuliza je Al haj Mwinyi tunae muda mrefu kwavile hajaandika kitabu? Nataka kukupinga kuwa hakuna uhusiano kati ya kifo na uandidishi wa vitabu wa Mkapa na Mengi!!
 
Na mimi nakuuliza je Al haj Mwinyi tunae muda mrefu kwavile hajaandika kitabu? Nataka kukupinga kuwa hakuna uhusiano kati ya kifo na uandidishi wa vitabu wa Mkapa na Mengi!!
Mkuu inaonekana darasani mwl alikuwa anapata shida sn, nimeuliza swali kwanini wanaoandika hawakai muda mrefu na mifano nimetoa lakini huelewei, we Muha nini?
 
Mkuu inaonekana darasani mwl alikuwa anapata shida sn, nimeuliza swali kwanini wanaoandika hawakai muda mrefu na mifano nimetoa lakini huelewei, we Muha nini?

Una badilisha magoli sio? Andiko lako lilikuwa statement na wala halikuwa swali? Nadhani wewe utakuwa mkolomije mna vichwa kama Jiwe!!!
 
wabongo tunapenda tu kuwasema watu maarufu, utasikia mbona hiki hajasema mbona kile kaacha. Hata mimi(ambaye sina umaarufu) nikiandika kitabu kuna mambo siwezi kuandika kwa sababu mbalimbali. Hata Mandela hakusema yote. ishu nyingine ni sensitive sana na zinaweza kuwakera wengine waliohusika.

kitabu cha 'kweli' kitakachosimulia habari za Nyerere ni kile cha aliyekua secretary wake bi Joan Wicken ambacho kwa bahati mbaya kitatoka 2034. Naona alikadiria kwamba kufika huo mwaka wahusika wote watakua wamefariki.

Mkapa alijua fika hatapata nafasi ya kukisoma na alisikita sana. Nadhani hata wazee wa mapinduzi ya 1964 wangeandika na kuruhusu hata kiachiwe baada ya miaka 80 lingekuwa jambo zuri.

waafrika tunakosa taarifa sahihi kutoka kwa wazee kwa sababu wana viapo vya kutosema baadhi ya vitu , wenzetu wanajifunza vingi sana kutoka kwenye hizi historia. Pengine Nyerere angeandika kitabu na kutuonyesha ni wapi sera zake zilifeli na tujirekebishe vipi leo hii kuna vitu tungejiepusha navyo.
 
Aaaah! Kikwetee huyu huyu wa Msoga hapa karibu na chalinze? Baba Miraji au!!

Sasa kitu gani tusichokijua bwana weyee? naweza nikaorodhesha yoooote matukio hapa wewe ulikuwa muwazi sana unakumbuka siku ile pale Mwanza yule kijana alikutia mweleka? ila uana jeshi ulikusaidia sana!!!

lkn Bwana weye tuache utani una roho nzuri tena sana!! tena sana vinaendana na rangi yako!!! siyo hili ulilo tuachia sijui rijiwe! mmmfyuuk!! any way natamani yule binti yako aje atutembelee tu kwa gharama zangu!! aonane na familia yangu muheshimiwa kwa roho nzuri tu! hata km hana kazi kwa sasa siyo mbaya!

Halafu naomba kukuuliza muheshiwa kwa heshima na tahadhima yako!! huna wadogo zako wa kike kwani? km 25= hata 4o hivi siyo mbaya sijwahi kuwaona ati tangu tukiwa wote hapo Ikulu, hata ulipo kuwa bado hapo ikulu! usiwafiche fiche! Mkuu!
 
wabongo tunapenda tu kuwasema watu maarufu, utasikia mbona hiki hajasema mbona kile kaacha. Hata mimi(ambaye sina umaarufu) nikiandika kitabu kuna mambo siwezi kuandika kwa sababu mbalimbali. Hata Mandela hakusema yote. ishu nyingine ni sensitive sana na zinaweza kuwakera wengine waliohusika.

kitabu cha 'kweli' kitakachosimulia habari za Nyerere ni kile cha aliyekua secretary wake bi Joan Wicken ambacho kwa bahati mbaya kitatoka 2034. Naona alikadiria kwamba kufika huo mwaka wahusika wote watakua wamefariki.

Mkapa alijua fika hatapata nafasi ya kukisoma na alisikita sana. Nadhani hata wazee wa mapinduzi ya 1964 wangeandika na kuruhusu hata kiachiwe baada ya miaka 80 lingekuwa jambo zuri.

waafrika tunakosa taarifa sahihi kutoka kwa wazee kwa sababu wana viapo vya kutosema baadhi ya vitu , wenzetu wanajifunza vingi sana kutoka kwenye hizi historia. Pengine Nyerere angeandika kitabu na kutuonyesha ni wapi sera zake zilifeli na tujirekebishe vipi leo hii kuna vitu tungejiepusha navyo.
Mimi ndiye rais.Sipangiwi.
 
Maisha bwana Leo Uzi wa Jk na hatukanwi kipindi cha Nyuma mlikuwa mnatukana tu.
 
Ungeishi miaka 90 lakini unataka utajiri kupitia siasa tena uongozi mkubwa!lucifer anakuambia nipe miaka kumi ya kunitumikia nikuachie 80 ya utajiri,umaarufu na uongozi!unakubali unapata unachotaka!!muda ukifika unaenda kuzimu kutumikia miaka kumi kwa lucifer!!huku duniani wanajua umekufa tena wanakuombea mema!!!
Unaweza kukuta Mond na yeye ameshafanya hii biashara
 
Back
Top Bottom