LOVE U JF
JF-Expert Member
- Dec 9, 2015
- 2,138
- 1,639
Kwahyo jk naye mbioni?Hata Reginald Mengi ilikua hivyo hivyo😥😥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo jk naye mbioni?Hata Reginald Mengi ilikua hivyo hivyo😥😥
Mungu alishampangia siku zake za uhai kabla hajazaliwaKwahyo jk naye mbioni?
Hivi unaweza kuuza miaka yako kwa Lucifer, ebu nielimishe hapaInawezekana hawa watu maarufu kama kina kikwete,mengi,mkapa,Chande n.k wana siri kubwa nyuma yao!Inawezekana wameuza idadi ya miaka yao kwa Lucifer ili wapate mafanikio!!!Ndio maana muda wa makubaliano ukifika wanaandika vitabu ambavyo hata mapato yao hawali vizuri wanakufa baada ya mwaka au muda fulani!!
Miaka zaidi ya tisini sidhani Kama hata kumbukumbu iko sawa,Haha mzee labda ahamasike baada ya kuona wenzake wote wametoka vitabu, lakini kwa umri ule atakuwa na kumbukumbu ya mambo yote yaliyotokea kipindi cha his reign?
Mke wa kwanza alitangulia mbele ya haki.Aandike Hadi Yale ya ndani kabisa, watu tuyajue: binafsi nataka kujua baba yake alihusika vipi katika siasa ya Tanzania, aliwezaje kuwa mwanajeshi wakati muda mwingi alikuwa akitumikia chama sehemu mbalimbali, kwanini aliachana na mke wake wa Kwanza tunataka tumfahamu pia na yupo wapi kwa sasa(mama ridhiwani), kwanini suala la ufisadi hakulichukulia serious. Ni kujua tuu basi
Daah, ni kweli Ila upole nao ni mbaya, kipindi kile maandamano Kila wakati,matamko ya vyama vya wafanyakazi Kila wakati, sahizi kimyaaaKipindi kile watu wangeandamana sana kupinga. Sipati picha wapinzani namna ambavyo wangetoa matamko.
Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.
Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Wangetoka na misemo kama HATUOGOPI, TUTAPIGANA HADI KUFA ATOKE HUYU. HII NCHI SI YA BABA YAKE N.KDaah, ni kweli Ila upole nao ni mbaya, kipindi kile maandamano Kila wakati,matamko ya vyama vya wafanyakazi Kila wakati, sahizi kimyaaa
Kwisha habari yake...!
Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.
Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Na Kasaka[emoji1787][emoji16]Hata Reginald Mengi ilikua hivyo hivyo[emoji26][emoji26]
Natamani mtuwangu nae aandike kitabu fastafasta.Mie nimewaza Mkapa kamaliza kuandika akazindua tu, then in a year or two he was no more...
Mbona mnasema amejijengea mizizi ambayo JPM ndo anaing’oa? Yule mtuhumiwa wa ufisadi yeye JK alidhani ataifuatilia hiyo mizizi yake ndo maana akampiga chini au alifanya kwa maslahi mapana ya Taifa?Vitabu ni urithi mzuri sana kwa vizazi vijavyo. Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amelifanyia mengi taifa hili. Mbali na kuwa rais kwa kipindi cha miaka10 amehudumu kwenye serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania tangu akiwa kijana.
Kwangu mimi JK anabaki kuwa shujaa aliyeweza kutegua mtego wa kumuingiza mtuhumiwa wa ufisadi ikulu na kutuletea Chuma JPM💪
Naamini kuna vingi tutajifunza kupitia kitabu chake
Mungu ampe maisha marefu yenye afya na furaha tele Jakaya Kikwete
Naona amechelewa, angekuwa yuko smart sana alipaswa atoe kabla ya Mkapa. Labda angekuwa ameshatangulia Kama wadau wanavyosema kuwa ukitoa kitabu Cha kuelezea maisha yako one to two year tunakuzika😆😆Miaka zaidi ya tisini sidhani Kama hata kumbukumbu iko sawa,
Ongelea bongo mkuuWanaandika wakiwa afya zao zina mgogoro sio suala la umri; Barack Obama ameandika na bado anaandika vitabu na hana dalili ya kuondoka siku za usoni kwasababu ya kuandika hivyo vitabu!! Carter, Clinton, Walker Bush na wengine wengi wameandika vitabu na bado wapo!!
Je Alhaj Mwinyi yupo nasi kwa muda mrefu kwasababu hajaandika kitabu?