Dkt. Kikwete: Ninaandika kitabu cha historia yangu ambacho ninaelezea mambo mengi hata yale msiyoyajua!

Dkt. Kikwete: Ninaandika kitabu cha historia yangu ambacho ninaelezea mambo mengi hata yale msiyoyajua!

Kwahiyo aogope kuandika kwavile atakufa? Kufa ni lazima aandike au asiandike!!
Kama anaandika asiandike ili mradi ni fashion ya siku hizi ya kuandika; bali ajitahidi awe mkweli tu atuambie ushiriki wake na Rugemalila wa kuileta kampuni ya uzalishaji umeme Tanzania, mpaka ikawa chanzo cha kashfa na ufisadi mkubwa nchini.
Mkuu Bulesi Asiache kuandika. Hili ni suala fikirishi tu. Halina chochote zaidi
 
Ile sheria ya Urais wa milele ingeanza kutumika kwa JK.
Na si kutuletea uhuni huu wa akina Msukuma mbunge wa Geita
 

Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.

Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.

Chanzo: Eatv.

Maendeleo hayana vyama!
Bado tunaamini kwamba Mzee wetu ataeleza kuhusu majina ya mfukoni ya 2015
 
Ile sheria ya Urais wa milele ingeanza kutumika kwa JK.
Na si kutuletea uhuni huu wa akina Msukuma mbunge wa Geita
Kipindi kile watu wangeandamana sana kupinga. Sipati picha wapinzani namna ambavyo wangetoa matamko.
 
Jidanganye ww na watt wako huyo wala hakuwa chaguo lake ,aliyemuweka huyo kasharest in peace
Vitabu ni urithi mzuri sana kwa vizazi vijavyo. Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amelifanyia mengi taifa hili. Mbali na kuwa rais kwa kipindi cha miaka10 amehudumu kwenye serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania tangu akiwa kijana.

Kwangu mimi JK anabaki kuwa shujaa aliyeweza kutegua mtego wa kumuingiza mtuhumiwa wa ufisadi ikulu na kutuletea Chuma JPM[emoji123]

Naamini kuna vingi tutajifunza kupitia kitabu chake

Mungu ampe maisha marefu yenye afya na furaha tele Jakaya Kikwete
 
Asisahau kutuambia alikuwa anawahonga nini wapinzani kipindi kile alivyokuwa anawaita Ikulu.

Alikuwa anamuhonga sana Zitto safari za kiserikali ili apate per diem!!!

Alihusika pia na utekwaji wa Dr. Ulimboka na mauaji ya mwandishi wa habari marehemu Mwangosi!!!

Memoirs mara nyingi hutumika kama njia ya kuomba msamaha kwa yale maovu viongozi wanayokuwa wamewakosea watawaliwa wakati wa utawala wao, atumie njia hiyo kuwaomba msamaha aliowakwaza ili huko aendako uhai wake utakapokoma mambo yake yake mepesi!!!
 
Jidanganye ww na watt wako huyo wala hakuwa chaguo lake ,aliyemuweka huyo kasharest in peace
Yote yanaweza kuwa unavyoona ila alitumika kwa nafasi kutimilisha mipango ya Mungu kwenye kupata rais wa5 wa taifa letu
 
Alikuwa anamuhonga sana Zitto safari za kiserikali ili apate per diem!!!

Alihusika pia na utekwaji wa Dr. Ulimboka na mauaji ya mwandishi wa habari marehemu Mwangosi!!!

Memoirs mara nyingi hutumika kama njia ya kuomba msamaha kwa yale maovu viongozi wanayokuwa wamewakosea watawaliwa wakati wa utawala wao, atumie njia hiyo kuwaomba msamaha aliowakwaza ili huko aendako uhai wake utakapokoma mambo yake yake mepesi!!!
Mbona umemtaja Zitto tu na wale wengine waliyokuwa anawaita Ikulu nao alikuwa anawahonga nini?
 
Back
Top Bottom