Hatari chuma cha mjerumani watafiti waje watupe analysisUmewaza kama mimi.
Mengi.
Mkapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari chuma cha mjerumani watafiti waje watupe analysisUmewaza kama mimi.
Mengi.
Mkapa.
Ni kweli mkuu. Kufa ni njia yetu sote AmanizzleNafikiri tunatakiwa kuwa na hii mentality..
Kufa, tutakufa tu hata tukikaa kimya, kwa hivyo ni bora kuacha kumbukumbu itakayoishi. View attachment 1671376
Na hili ndilo limenifikirisha Galileo_GauchoMkapa hakumaliza hata mwaka mmoja
Mkuu IFRS hii inaweza kuwa inahitaji uchunguzi hiii linkageLe mutuz kila siku hospitali
Mkuu Bulesi Asiache kuandika. Hili ni suala fikirishi tu. Halina chochote zaidiKwahiyo aogope kuandika kwavile atakufa? Kufa ni lazima aandike au asiandike!!
Kama anaandika asiandike ili mradi ni fashion ya siku hizi ya kuandika; bali ajitahidi awe mkweli tu atuambie ushiriki wake na Rugemalila wa kuileta kampuni ya uzalishaji umeme Tanzania, mpaka ikawa chanzo cha kashfa na ufisadi mkubwa nchini.
Mwinyi hajaandika BithurasdinhournhimHivi Mwinyi hakuandika ee...!?
Bado tunaamini kwamba Mzee wetu ataeleza kuhusu majina ya mfukoni ya 2015
Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.
Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.
Chanzo: Eatv.
Maendeleo hayana vyama!
Kipindi kile watu wangeandamana sana kupinga. Sipati picha wapinzani namna ambavyo wangetoa matamko.Ile sheria ya Urais wa milele ingeanza kutumika kwa JK.
Na si kutuletea uhuni huu wa akina Msukuma mbunge wa Geita
Moja ya maswali ya ajabu niliyowahi kuyaona.Hivi ingekuwa uchaguzi wa rais 2020 Kikwete na Magufuli kura ungempa nani?
Vitabu ni urithi mzuri sana kwa vizazi vijavyo. Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amelifanyia mengi taifa hili. Mbali na kuwa rais kwa kipindi cha miaka10 amehudumu kwenye serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania tangu akiwa kijana.
Kwangu mimi JK anabaki kuwa shujaa aliyeweza kutegua mtego wa kumuingiza mtuhumiwa wa ufisadi ikulu na kutuletea Chuma JPM[emoji123]
Naamini kuna vingi tutajifunza kupitia kitabu chake
Mungu ampe maisha marefu yenye afya na furaha tele Jakaya Kikwete
Asisahau kutuambia alikuwa anawahonga nini wapinzani kipindi kile alivyokuwa anawaita Ikulu.
Mbona kilishapewa jinaAtoe shindano la kusuggest the best title ya kitabu..
Yote yanaweza kuwa unavyoona ila alitumika kwa nafasi kutimilisha mipango ya Mungu kwenye kupata rais wa5 wa taifa letuJidanganye ww na watt wako huyo wala hakuwa chaguo lake ,aliyemuweka huyo kasharest in peace
Thanks same to youAisee kheri ya mwaka mpya!! Long time no see you
Kwa nini unaona swali la ajabu?Moja ya maswali ya ajabu niliyowahi kuyaona.
Yote yanaweza kuwa unavyoona ila alitumika kwa nafasi kutimilisha mipango ya Mungu kwenye kupata rais wa5 wa taifa letu
Mungu hapangiwi bali huombwaCo navyoona huo ndio ukwel wenyw ucjilishe matango pori
Mbona umemtaja Zitto tu na wale wengine waliyokuwa anawaita Ikulu nao alikuwa anawahonga nini?Alikuwa anamuhonga sana Zitto safari za kiserikali ili apate per diem!!!
Alihusika pia na utekwaji wa Dr. Ulimboka na mauaji ya mwandishi wa habari marehemu Mwangosi!!!
Memoirs mara nyingi hutumika kama njia ya kuomba msamaha kwa yale maovu viongozi wanayokuwa wamewakosea watawaliwa wakati wa utawala wao, atumie njia hiyo kuwaomba msamaha aliowakwaza ili huko aendako uhai wake utakapokoma mambo yake yake mepesi!!!