Dkt. Kikwete: Ninaandika kitabu cha historia yangu ambacho ninaelezea mambo mengi hata yale msiyoyajua!

Dkt. Kikwete: Ninaandika kitabu cha historia yangu ambacho ninaelezea mambo mengi hata yale msiyoyajua!


Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.

Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.

Chanzo: Eatv.

Maendeleo hayana vyama!
Kashastaafu
 

Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.

Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.

Chanzo: Eatv.

Maendeleo hayana vyama!


Kikwete uishi maisha marefu
 

Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.

Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.

Chanzo: Eatv.

Maendeleo hayana vyama!
Si dhani kama kuna haja ya kuandika kitabu, Maisha ya kila mtu yanajulikana na kila mtu hasa kwa hawa waliowahi kuwa viongozi, kitabu cha nini?
 

Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.

Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.

Chanzo: Eatv.

Maendeleo hayana vyama!
Mi nasubiria jiwe aandike, cha JK najua kitakua na historia inayovutia kusoma, cha jiwe sasa, unaweza ukasoma huku unalamba ndimu
 
Hakuna jipya ajikalie tu kimya kwenye hekalu lake, watanzania kwa sasa wanasoma namba hawana huo muda wa kusikiliza simulizi...
Ya kwamba mzee baba katuvuruga..😂
 

Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.

Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.

Chanzo: Eatv.

Maendeleo hayana vyama!
Mwinyi sijui ataandika lini?
 
Najua hatosahau kutueleza kilichomuua Dk. Omar Ally Juma na uhusiano wake na Rostam Aziz kuhusu like briefcase jeusi pale hoteli ya Kilimanjaro.

Na pia atatuambia kwa nini alishindwa kutamka jina la Dk. Alli Mohhamed Shein kwa mara ya kwanza hadi RA alipomtambulisha kwake bila kusahau lile shimo la tanzanite maarufu kama "Shimo la Mwarabu" pale Mererani sasa analichimba nani baada ya ya mzungu wa SA kufurushwa?
Na ni nini kilimpata pale Jangwani hadi akala mweleka hadharani...

Maana mengi yalisemwa kuwa ni juju, mara uchovu n.k
 
Mwambieni asisahau kuandika huko na jinsi alivyoingia mkataba na wachina kuhusu bandari ya bagamoyo alitaka kutuingiza msitu wa mwabepande
 
Alianza Reginald mengi, alipozindua tu hakuchukua muda.Akaja BW Mkapa naye alipozindua tu, akaaga dunia.Tafadhali mh Kikwete bado tunakupenda!
 
Mwambieni asisahau kuandika huko na jinsi alivyoingia mkataba na wachina kuhusu bandari ya bagamoyo alitaka kutuingiza msitu wa mwabepande
Subiri kijana SGR imerudi kwa wachina bado Bagamoyo itajengwa yetu macho mabeberu bwana huchomoi!!!!
 
Ili kuiepuka Hiyo mitego ya kutumbukia kwenye shimo walilonasa Beny & Reginald,Nashauri JMK hivi: Yeye aandike hicho kitabu Halafu Kipelekwe Maktaba na kwenye Bookshops moja kwa moja bila KUKIZINDUA KWENYE HADHARA.Maana inaonekana "Hiyo spirit of death" (roho ya mauti)Inawaingia Hawa watunga vitabu wakati wanapokizindua kwenye Public.
 

Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.

Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.

Chanzo: Eatv.

Maendeleo hayana vyama!
Naamini katika hicho Kitabu Mambo kama ya UKIMWI kwa Watanzania, TEZI DUME kwa Watanzania, WATANZANIA KUBAMBIKIWA KESI, KUNYANG'ANYANA WAKE kwa Watanzania, KUTONGOZEWA kwa Wakubwa ili wapate Vyeo, WASANII WA KIKE na wale WANYANGE ( WALIMBWENDE ) Kusafirishwa kwenda Kungonolewa ( Kulalwa ) Ulaya na Marekani na Watawala wa juu, USHIRIKINA na kupenda Kuzurula kwa Waganga wa Kienyeji kwa Watawala wa juu wa Tanzania, Mahaba ya Viongozi wa juu kwa Yanga SC na DAWA ZA KULEVYA na FAMILIA hayatakosekana hasa baada ya kusema atatuandikia hata yale tusiyoyajua. Nitakinunua kwa Gharama yoyote ile ikibidi nitakopa hadi Pesa.
 

Rais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa.

Kikwete amesema hayo wakati wa mahojiano na mwandishi Salama Jabir katika kipindi cha Salama leo.

Chanzo: Eatv.

Maendeleo hayana vyama!
Mshaurini Kikwete aandike na alivyoiua CCM Mbeya kwa kumuweka Mkuu wa Mkoa Mwakipesile, mutu ya Mtandao, ambaye hakupendwa kabisa na wananchi!
 
Inawezekana hawa watu maarufu kama kina kikwete,mengi,mkapa,Chande n.k wana siri kubwa nyuma yao!Inawezekana wameuza idadi ya miaka yao kwa Lucifer ili wapate mafanikio!!!Ndio maana muda wa makubaliano ukifika wanaandika vitabu ambavyo hata mapato yao hawali vizuri wanakufa baada ya mwaka au muda fulani!!
 
Back
Top Bottom