Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Hapana nimependa mazungumzo yake ameonesha kuwa kumbe inawezekana ukaongea bila kumtaja taja Magufuli.mbona unamsnichi mzee JK
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana nimependa mazungumzo yake ameonesha kuwa kumbe inawezekana ukaongea bila kumtaja taja Magufuli.mbona unamsnichi mzee JK
Njia ya kuiomba msamaha jamiiUmewaza Kama Mimi.
Mengi.
Mkapa.
Bila kusalitiana watz wasingepata shida hiiNatamani kuyajua ya boys2men toka kwenye hicho kitabu
Urafiki, uswahiba na ukweli wa kinachoonekana kuja kuwa usaliti baina yao
Usichurie hivyo nani atamfunga PAKA kengele angalauyan akiandika tu hata mitano haishi! kwisha habar!
Bora ya mtuhumiwa wa ufisadi ana utu kuliko fisadiVitabu ni urithi mzuri sana kwa vizazi vijavyo. Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amelifanyia mengi taifa hili. Mbali na kuwa rais kwa kipindi cha miaka10 amehudumu kwenye serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania tangu akiwa kijana...
Safi sana Mzee KikweteRais mstaafu wa awamu ya 4, Mh. Mrisho Jakaya Kikwete amesema kwa sasa anaandika kitabu cha historia ya maisha yake ambacho kitaelezea mambo aliyoshiriki, aliyoyashuhudia na aliyoyaona katika maisha yake binafsi na yale ya siasa...
Kati ya kuisoma namba na maisha Bora kwa kila mtza wengi wangechagua maisha boraHivi ingekuwa uchaguzi wa rais 2020 Kikwete na Magufuli kura ungempa nani?
Sio KILA mwenye kitabu kaandika wapo wenye Kazi zao unawapa stori tuTangu tusikie juu ya kitabu hiki ni miaka kadhaa imepita. Bado tu hakitoki? Uandishi ni uwezo na karama. Kama huna ni busara kukaa kimya. Kikitoka tutakiona.
Bila kusalitiana watz wasingepata shida hii
We we we we we!! UshindweR I P
Mie nimewaza Mkapa kamaliza kuandika akazindua tu, then in a year or two he was no more...
Bila kumsahau Andy ChandeHata Reginald Mengi ilikua hivyo hivyo[emoji26][emoji26]
Ata rip yeye kwanza amuacheWe we we we we!! Ushindwe
Maneno mazito sana haya.Bado tunataka kuwa nae ,asikiandike now,kwa kuwa (huwezi kuishi na historia yako ipo mitaani.)
Le mutuz kila siku hospitaliMie nimewaza Mkapa kamaliza kuandika akazindua tu, then in a year or two he was no more...
Unataka kujua mambo ya ndani ya binadamu mwenzioHuwa hawaandiki mambo ya ukweli wa ndani, sana sana hurudia yale yale na tusiyoyajua yasiyo na tija yoyote.