NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Ungeishi miaka 90 lakini unataka utajiri kupitia siasa tena uongozi mkubwa!lucifer anakuambia nipe miaka kumi ya kunitumikia nikuachie 80 ya utajiri,umaarufu na uongozi!unakubali unapata unachotaka!!muda ukifika unaenda kuzimu kutumikia miaka kumi kwa lucifer!!huku duniani wanajua umekufa tena wanakuombea mema!!!Hivi unaweza kuuza miaka yako kwa Lucifer, ebu nielimishe hapa
Tujitahidi kuelewa kiswahili kiongozi, mi nimeandika kila anayetoa kitabu hakai muda mrefu( Mengi na Mkapa), huyo mzee ametoa kitabu gani sasa?
Mkuu inaonekana darasani mwl alikuwa anapata shida sn, nimeuliza swali kwanini wanaoandika hawakai muda mrefu na mifano nimetoa lakini huelewei, we Muha nini?Na mimi nakuuliza je Al haj Mwinyi tunae muda mrefu kwavile hajaandika kitabu? Nataka kukupinga kuwa hakuna uhusiano kati ya kifo na uandidishi wa vitabu wa Mkapa na Mengi!!
Mkuu inaonekana darasani mwl alikuwa anapata shida sn, nimeuliza swali kwanini wanaoandika hawakai muda mrefu na mifano nimetoa lakini huelewei, we Muha nini?
TetetetetetUna badilisha magoli sio? Andiko lako lilikuwa statement na wala halikuwa swali? Nadhani wewe utakuwa mkolomije mna vichwa kama Jiwe!!!
Msiwaombee hivyo watu wenzenu,waombeeni waishi.Hata Reginald Mengi ilikua hivyo hivyo😥😥
Mimi ndiye rais.Sipangiwi.wabongo tunapenda tu kuwasema watu maarufu, utasikia mbona hiki hajasema mbona kile kaacha. Hata mimi(ambaye sina umaarufu) nikiandika kitabu kuna mambo siwezi kuandika kwa sababu mbalimbali. Hata Mandela hakusema yote. ishu nyingine ni sensitive sana na zinaweza kuwakera wengine waliohusika.
kitabu cha 'kweli' kitakachosimulia habari za Nyerere ni kile cha aliyekua secretary wake bi Joan Wicken ambacho kwa bahati mbaya kitatoka 2034. Naona alikadiria kwamba kufika huo mwaka wahusika wote watakua wamefariki.
Mkapa alijua fika hatapata nafasi ya kukisoma na alisikita sana. Nadhani hata wazee wa mapinduzi ya 1964 wangeandika na kuruhusu hata kiachiwe baada ya miaka 80 lingekuwa jambo zuri.
waafrika tunakosa taarifa sahihi kutoka kwa wazee kwa sababu wana viapo vya kutosema baadhi ya vitu , wenzetu wanajifunza vingi sana kutoka kwenye hizi historia. Pengine Nyerere angeandika kitabu na kutuonyesha ni wapi sera zake zilifeli na tujirekebishe vipi leo hii kuna vitu tungejiepusha navyo.
AminaMsiwaombee hivyo watu wenzenu,waombeeni waishi.
Unaweza kukuta Mond na yeye ameshafanya hii biasharaUngeishi miaka 90 lakini unataka utajiri kupitia siasa tena uongozi mkubwa!lucifer anakuambia nipe miaka kumi ya kunitumikia nikuachie 80 ya utajiri,umaarufu na uongozi!unakubali unapata unachotaka!!muda ukifika unaenda kuzimu kutumikia miaka kumi kwa lucifer!!huku duniani wanajua umekufa tena wanakuombea mema!!!