Dkt. Kimei na Spika Ndugai, watoto wenu mliwasomesha ufundi simu?

Dkt. Kimei na Spika Ndugai, watoto wenu mliwasomesha ufundi simu?

fundi anaweza akajichanganya sehemu yoyote.akafanya kazi akaishi.
Tofauti na wasomi wengi AMBAYO wamesoma wakiamini kuajiliwa ndo kila kitu.
HUYU msomi angetoka chuo akiwa na UJUZI wake wa umeme au ujenzi.asingesubiri kuajiliwa.
Na hata mainjinia wengi kujenga hawajui.wanatagemea mafundi
Mbona nao wananichaganya sehemu tofauti tofauti acheni kusingizia wasomi, bila shaka na wewe umeajiriwa Ila unalaumu wasomi. Hafu kazi ya kusoma ni kuondoa ujinga, hata huyo fundi mchundo anatakiwa asome kujiongezea maarifa
 
Alikuwa na point. What is the use 7 yrs Primary School+6 yrs Secondary School+ 2-5 yrs tertiary education. Na chuoni mtu anasoma BA Caltural Heritage, B.A Tourism, BA. Linguistics and the likes. Anakuja mtaani hakuna ajira anaishia kuwa boda BODA, kondakta wa basi.

Matumizi mabaya ya muda na rasilimali akili.

Maoni yangu:
1. Mfumo wa elimu urekebishwe miaka ipunguzwe i.e primary school 5 yrs secondary 3 to 4 yrs, e.t.c
2. Mkazo uwe kwenye vyuo vya kati. Basically middle income economy kwa kiasi kikubwa inaendesha na mafundi mchundo na mafundi sanity.
Makosa yalifanyika hapa katikati nadhani wakati wa Hayati Ben Mkapa na Mzee Kikwete....Wakati wa Mzee Nyerer aliyaona haya ndio maana alifungua vyuo vingi vya ufundi nakumbuka pale Mwanza tulikuwa na Mwanza Technical pale karibu na shule ya msingi Nyanza....kulikuwa na Dar Tech, Mbeya Tech, Mosh Tech..Technical schools kila mahali na hivi vyuo ndio vilisaidia kutoa hiyo elimu ya ufundi na kutengeneza mafundi mchundo....University zilikuwa chache na ilikuwa ni makusudi ili vizalishe 'Thinking Tanks" na kwa hakika alifanikiwa.walivyokuja hawa kina Ben na Jakaya..wakabadili vyuo vyote vya Ufundi kuwa vyuo vikuu.....na mwisho wa siku ndio haya tunaona sasa...kijana yuko mwaka wa tatu chuo kikuu hajui hata kuandika barua ya Ku postpone masomo, anauliza JF members wamasaidie!...Wacha kina Kimei wa propose tuwafundishe kuwa mafundi simu!
 
Watu wanajitoa ufahamu Sana KWA hili swala Mbona watu Wana ufundi shida ni purchasing power imekuwa ndogo Sana mtaani, wao wanalaumu elimu, badala ya mifumo mibovu ya utawala, Kuna watu wamejiajiri KWA fundi mbalimbali Ila hamna kazi watu hawana hela
Ndio hivvyo cariha vijana wanaujuzi wa mechanics lakini siku hazi watu hawanunui magari. Vijana wana ujuzi wa kupaka rangi lakini hakuna ujenzi mwingi kama zamani.

Pesa ikirudi mtaani, vijana wa ufundi watapata kazi, kampuni zitafufuka na graduates pia wataajiriwa kwa hizo white-collar jobs.
 
Mbona nao wananichaganya sehemu tofauti tofauti acheni kusingizia wasomi, bila shaka na wewe umeajiriwa Ila unalaumu wasomi. Hafu kazi ya kusoma ni kuondoa ujinga, hata huyo fundi mchundo anatakiwa asome kujiongezea maarifa
cariha vijana wanafikiri wakishahitimu chuo cha ufundi basi yeye kusoma tena ndio baaaas.

Elimu ni zaidi ya kupata pesa nyingi ndio maana wasomi wengi kuanzia ngazi ya chuo kikuu wanauwezo wa ku-balance ukubwa wa familia na kiwango cha pesa anayoipata kwa mwezi.
 
FUNDI umeme hajawahi kukosa kazi,FUNDI ujenzi hajawahi kukosa kazi,FUNDI magari hajawahi kukosa kazi hata madereva.
Kijana anatakiwa awe na UJUZI wake.ukiacha Yale masomonya darasani.
Hata siku akimaliza chuo akakosa ajira anaweza akasukuma siku mitaani
Zamani shule niliyosoma kuanzia form one Hadi form four kulikuwa na masomo mbalimbali Kama cookery, niddle work na ufundi, unfortunately serikali ikafuta hzo shule ikabaki na advance tu, so hapo kuanzia form one Hadi form four wangerudisha hayo masomo, pia wote wakiishia hzo level bila mipango ya uchumi endelevu kazi itakuwa ni ile ile
 
Kuna masomo yanatakiwa yaongezwe huko vyuoni hata shule za sekondari.
Umeme,ujenzi,udereva n.k
Hizo fani mtoto akiwa nazo hata akimaliza chuo akakosa ajira anaweza akaingia mtaani na akapata vibarua vya kusogeza siku.
Mtu namjua NI dokta lakini kubadikisha BULB hawezi.kitu kidogo kikitokea nyumbani kwake kwenye umeme mpaka amuite fundi.sasa Hilo ni tatizo.
Mbona nao wananichaganya sehemu tofauti tofauti acheni kusingizia wasomi, bila shaka na wewe umeajiriwa Ila unalaumu wasomi. Hafu kazi ya kusoma ni kuondoa ujinga, hata huyo fundi mchundo anatakiwa asome kujiongezea maarifa
 
Ndio hivvyo cariha vijana wanaujuzi wa mechanics lakini siku hazi watu hawanunui magari. Vijana wana ujuzi wa kupaka rangi lakini hakuna ujenzi mwingi kama zamani.

Pesa ikirudi mtaani, vijana wa ufundi watapata kazi, kampuni zitafufuka na graduates pia wataajiriwa kwa hizo white-collar jobs.
Watu badala wa deal na tatizo wao wanalaumu graduates walioko mtaani tena huyo kimei amekaa crdb White color jobs kastaafu kakimbilia ubunge then anasema solution vijana wasome ufundi simu, plus blah blah nyingi, bila ya ku deal na tatizo, na walio nje elimu ka ni degree hazitofautiani na zetu sema wao Kuna kazi nyingi za kufanya hata za usafi hufi njaa tofauti na huku, vijana wengi walioajiajiri kazi hamna uchumi umekuwa mbovu, waliokuwa na biashara wamezifunga, waliokuwa wanategemea utalii ndo umekufa na mahoteli watu wamepunguzwa wako kitaa, nilifikiria angeshauri serikali kutoa recovery fund KWA shughuli zilizokubwa na coronavirus Ili zinyanyuke yeye anakuja na blah blah Mara ufundi, sijui nini wakati vyuo vya ufundi viko kila corner.
Hapo mchawi ni uchumi tu, pia mashirika mengi yamefunga shughuli na makampuni mnataka Hali iwe sawa tu.
Hawa wanasiasa vichwa panzi kweli
 
FUNDI umeme hajawahi kukosa kazi,FUNDI ujenzi hajawahi kukosa kazi,FUNDI magari hajawahi kukosa kazi hata madereva.
Kijana anatakiwa awe na UJUZI wake.ukiacha Yale masomonya darasani.
Hata siku akimaliza chuo akakosa ajira anaweza akasukuma siku mitaani
Wewe wajisemea tu nadhani unaishi dunia yako, Mimi huku mtaani hao mafundi wapo, fundi umeme sijui simu Ila tatizo wateja hata ujenzi Sasa unasua sua compare na enzi za mkwere sasa hivi watu wanatafta hela ya kula, hafu fundi umeme tatizo likiwa kubwa huwa wanakuja taneaco wenyewe na sio vishoka.
 
Kuna masomo yanatakiwa yaongezwe huko vyuoni hata shule za sekondari.
Umeme,ujenzi,udereva n.k
Hizo fani mtoto akiwa nazo hata akimaliza chuo akakosa ajira anaweza akaingia mtaani na akapata vibarua vya kusogeza siku.
Mtu namjua NI dokta lakini kubadikisha BULB hawezi.kitu kidogo kikitokea nyumbani kwake kwenye umeme mpaka amuite fundi.sasa Hilo ni tatizo.
Hayo masomo si ndo wanaenda kusoma veta waliomaliza form four huko mtaani, pia serikali sio wajinga kuacha watu kusoma kisa eti ajira, lengo la elimu ni kutoa ujinga, na kwenye maisha wote wakienda vyuo vya Kati Hali si itarudi vile vile ndio maana kukawa na specialization huwezi kujua vitu vyote. Pia wengi wako chuoni huwa na vitu vingine wanafanya kuwaingizia vipato, ni sawa useme daktari aliyesomeshwa seven year's useme ajiajiri is it possible?
Tinahitaji ku deal na tatizo halisi na sio tatizo hisia
 
cariha vijana wanafikiri wakishahitimu chuo cha ufundi basi yeye kusoma tena ndio baaaas.

Elimu ni zaidi ya kupata pesa nyingi ndio maana wasomi wengi kuanzia ngazi ya chuo kikuu wanauwezo wa ku-balance ukubwa wa familia na kiwango cha pesa anayoipata kwa mwezi.
Huku watu wamekariri kuwa lengo la elimu ni kusomea mitihani na kupata kazi, lakini elimu haina mwisho hata kusoma story, maelezo mengine nayo ni elimu tu
 
Yule mtoto wa Kimei alifunga ndoa hivi karibuni sidhani kuwa ni fundi seremala, mwashi au makenika.
Kuna mmoja ni Boss pale CRDB Azikiwe Branch. Labda alianzia na ufundi bomba pale kabla hajapanda taratibu
 
Alikuwa na point. What is the use 7 yrs Primary School+6 yrs Secondary School+ 2-5 yrs tertiary education. Na chuoni mtu anasoma BA Caltural Heritage, B.A Tourism, BA. Linguistics and the likes. Anakuja mtaani hakuna ajira anaishia kuwa boda BODA, kondakta wa basi.

Matumizi mabaya ya muda na rasilimali akili.

Maoni yangu:
1. Mfumo wa elimu urekebishwe miaka ipunguzwe i.e primary school 5 yrs secondary 3 to 4 yrs, e.t.c
2. Mkazo uwe kwenye vyuo vya kati. Basically middle income economy kwa kiasi kikubwa inaendesha na mafundi mchundo na mafundi sanity.
Ninamuunga mkono Kimei
 
Inatakiwa hayo wanayosoma Veta wayasome na huko vyuoni.
Ziwe Kama skills za ziada.
Ili ikitokea amekosa ajira hizo skills zimsaidie.kuna watoto Wana maliza vyuo kuendesha gari hajui Hilo ni tatizo
Hayo masomo si ndo wanaenda kusoma veta waliomaliza form four huko mtaani, pia serikali sio wajinga kuacha watu kusoma kisa eti ajira, lengo la elimu ni kutoa ujinga, na kwenye maisha wote wakienda vyuo vya Kati Hali si itarudi vile vile ndio maana kukawa na specialization huwezi kujua vitu vyote. Pia wengi wako chuoni huwa na vitu vingine wanafanya kuwaingizia vipato, ni sawa useme daktari aliyesomeshwa seven year's useme ajiajiri is it possible?
Tinahitaji ku deal na tatizo halisi na sio tatizo hisia
 
1:Mm nachoona ni kuwa mifumo ya elimu iboreshwe kuwe na mabadiliko ya mitaala yenye tija kwa jamii na inayoendana na hali ya sasa kidunia.

2: serikal inalazmika katik kla fani wawe na fixed number ya udahili wa wanachuo katika fani fulan (college capacity) yan serikal ijue kabisa kuwa mwaka huu walim watakaohitim n 1000, manes 1000, wahsibu 1000, fund umeme, fund bomba, injinia, watu wakiwa fixed ktk kila fani ata huo ufund tunaouzarau utakuwa na soko mana watu watategemeana sasa leo hii graduate wote tuwe mafundi nan atafundsha watt wetu shulen, nan atatutibu afya, nan atatulinda (askar), nan atatusimamia kesi mahakaman, lazma tuwe na ratio nzur ili tuweze kutegemeana.

3: tatzo la ajira kwa vjana n kubwa mnoo yan ni bomu linalokaribia kulipuka nchini, nafkir serikal inatakiwa iweke mazingira rafk kwa sekta binafs ili wigo wa ajira uwe mkubwa kwa mfano kukutana na wamiliki wa shle binafs mkawahamasisha kujenga shle zaid itawapa walim kaz, kukutana na wamiliki wa hosp mkahamasisha wajenge zaid itapanua wigo wa ajira kwa manesi, kukutana na wamiliki wa viwanda kna Mo na bakheresa wakahamasishwa wajenge viwanda zaid itaongeza ajira kwa vijana, serikal ikakutana na makampun binafs ya ulinz wakaweka mazngra sawa mbn ata wadogo zetu waliorud jkt wanapata ajira,. Serikal iache kuvimba mtu kama dangote tajiri namba moja africa alitakiwa aombwe ajenge maviwanda mengi nchini hapa yangenufaisha weng san
 
Mhe. Kimei, Mbunge wa Vunjo, amekosoa vikali mazoea ya kutukuza elimu ya "ma degree na ma PhD," akidai yanapotezea watoto muda.

Hoja iliyoungwa mkono kwa nguvu na Spika Ndugai aliyelitaka bunge limsikilize Kimei kwa makini, na akamwongezea muda arudie na asisitize hoja yake.

Badala yake watoto wasomee "ujuzi" kama vile ufundi simu na umakenika, wanasema Kimei na Ndugai.

Najua mtoto mmoja wa Ndugai alimleta bungeni akasema anasomea udaktari China. Wa Kimei sijui.

Ningependa kujua, watoto wao waliwasomesha ufundi simu?

Au mnataka tu kuingiza mikenge watoto wa watu ili wawatengenezee watoto wenu system charge za simu zao?
MADELINE KIMEI[WAKILI WA KIMATAIFA] alisomeshwa ufundi simu?
Hawa ndumilakuwili watakuja kulipa tu
 
Mhe. Kimei, Mbunge wa Vunjo, amekosoa vikali mazoea ya kutukuza elimu ya "ma degree na ma PhD," akidai yanapotezea watoto muda.

Hoja iliyoungwa mkono kwa nguvu na Spika Ndugai aliyelitaka bunge limsikilize Kimei kwa makini, na akamwongezea muda arudie na asisitize hoja yake.

Badala yake watoto wasomee "ujuzi" kama vile ufundi simu na umakenika, wanasema Kimei na Ndugai.

Najua mtoto mmoja wa Ndugai alimleta bungeni akasema anasomea udaktari China. Wa Kimei sijui.

Ningependa kujua, watoto wao waliwasomesha ufundi simu?

Au mnataka tu kuingiza mikenge watoto wa watu ili wawatengenezee watoto wenu system charge za simu zao?
Mtoto wa Kimei ambaye hajasoma kabis ni Madeline, ana Digrii ya Sheria LLB- Uingereza,LLM-USA-Masters ya Sheria na alikuwa anafanya kazi Tanzania institute of Arbitrators na sasa anafanya kazi mahakama ya umoja wa Mataifa, mshahara kwa mwezi ni dola 12,000 yaani milioni 24, ameolewa na kijana wa kinyakyusa.
Kaka zake watatu wapo Marekani na wamesoma sana, wameoa wanawake wa kichagga na wana uraia wa marekani, nyie endeleeni kujifunza ufundi simu
aaa.jpg
 
fundi anaweza akajichanganya sehemu yoyote.akafanya kazi akaishi.
Tofauti na wasomi wengi AMBAYO wamesoma wakiamini kuajiliwa ndo kila kitu.
HUYU msomi angetoka chuo akiwa na UJUZI wake wa umeme au ujenzi.asingesubiri kuajiliwa.
Na hata mainjinia wengi kujenga hawajui.wanatagemea mafundi
Ww kweli n mjinga km jina lako unaongea km umekatwa kichwa, mm nko hapa mtaani nmepanga na fund umeme na fund seremala ns wanalalamika hawapati dili lolote lile, huyo fund cherehan tu ckuhz apelekewi viraka tunashona wenyewe na sindano.
 
Ww kweli n mjinga km jina lako unaongea km umekatwa kichwa, mm nko hapa mtaani nmepanga na fund umeme na fund seremala ns wanalalamika hawapati dili lolote lile, huyo fund cherehan tu ckuhz apelekewi viraka tunashona wenyewe na sindano.
mwenye shibe hakukumbuki wewe, sana sana anaweza kukushauri ukauze maji barabarani kwenye daldala,
 
Watu badala wa deal na tatizo wao wanalaumu graduates walioko mtaani tena huyo kimei amekaa crdb White color jobs kastaafu kakimbilia ubunge then anasema solution vijana wasome ufundi simu, plus blah blah nyingi, bila ya ku deal na tatizo, na walio nje elimu ka ni degree hazitofautiani na zetu sema wao Kuna kazi nyingi za kufanya hata za usafi hufi njaa tofauti na huku, vijana wengi walioajiajiri kazi hamna uchumi umekuwa mbovu, waliokuwa na biashara wamezifunga, waliokuwa wanategemea utalii ndo umekufa na mahoteli watu wamepunguzwa wako kitaa, nilifikiria angeshauri serikali kutoa recovery fund KWA shughuli zilizokubwa na coronavirus Ili zinyanyuke yeye anakuja na blah blah Mara ufundi, sijui nini wakati vyuo vya ufundi viko kila corner.
Hapo mchawi ni uchumi tu, pia mashirika mengi yamefunga shughuli na makampuni mnataka Hali iwe sawa tu.
Hawa wanasiasa vichwa panzi kweli
Hivi unajua mshahara wa mbunge ni 12 millions per month?
 
Back
Top Bottom