cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo vishoka lolWewe wajisemea tu nadhani unaishi dunia yako, Mimi huku mtaani hao mafundi wapo, fundi umeme sijui simu Ila tatizo wateja hata ujenzi Sasa unasua sua compare na enzi za mkwere sasa hivi watu wanatafta hela ya kula, hafu fundi umeme tatizo likiwa kubwa huwa wanakuja taneaco wenyewe na sio vishoka.