Kwa ile mi VieiTe iliokuwa imejipanga uwani kama showroom hata mie sidhani kama kuna fundi viatu mle!Yule mtoto wa Kimei alifunga ndoa hivi karibuni sidhani kuwa ni fundi seremala, mwashi au makenika.
Kila level ya elimu Ina nafasi yake kwenye kujenga uchumi, lazima kuwa na diversion ya vitu mbalimbali, hata hao wa veta wako wengi hamna shughuli KWA sasa uchumi ume paralyze, ndo hao wamekimbilia boda boda nako zimekuwa nyingi Hadi wanakosa wateja
Kwa ile mi VieiTe iliokuwa imejipanga uwani kama showroom hata mie sidhani kama kuna fundi viatu mle!
Kila shule iwe technical school Kama IYUNGA,ifunda , TANGA tech,mtwara tech nakadhalikaMimi naona Mzee Kimei yupo sahihi.
Kule darasani wafundishwe pia ufundi.
Mtoto akitoka form 4.awe anaweza hata kufunga umeme, kushika mwiko.na hata awe na idea ya ufundi wa magari.hata akifeli akishindwa kwenda form 5 na wazazi hawana hela anaweza kujiajiri.
Kila shule iwe technical school Kama IYUNGA,ifunda , TANGA tech,mtwara tech nakadhalika
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Hivi unajua maana ya kazi au unafikiria kuajiriwa tu, Kuna waliotoka veta fundi ujenzi Ila watu hawajengi Kuna mafundi wa kupika na ku decorate event's Ila watu hawafanyi ma part hela hamna, mtu anayeshona je? Ana ujuzi shida purchasing power ndogo hapo Nani alaumiwe, hafu ku discuss future ya kizazi kijacho sio mashinsano na wakionacho. Huyo kimei Kama kavimbiwa na wanawe wanafanya kaxi why a suggest utopolo good leader hu lead KWA example jesca mwenyewe elimu ya kuinga Ila kapewa connection Yuko kazini. So usiwaone watanzania wanao hustle mtaani bila mbeleko ni wajinga na hawana akili aisee. Ukiwa unakula na umebarikiwa mshukuru Mungu sio kuona wengine hawana akili ni Bora kufunga bakuli lakoUkisema mtu katoka Veta.
Alafu Hana kazi nitakushangaa.
Maana Veta NI UJUZI.
Hauitaji kuajiliwa.
Sasa ninyi endeleeni kushindana na watoto wa kimei.wakati wenzenu hata wasipokuwa na kazi wanaishi.
Mtoto wa masikini hata hyo hela ya kwenda VETA Hana
Hivi unajua maana ya kazi au unafikiria kuajiriwa tu, Kuna waliotoka veta fundi ujenzi Ila watu hawajengi Kuna mafundi wa kupika na ku decorate event's Ila watu hawafanyi ma part hela hamna, mtu anayeshona je? Ana ujuzi shida purchasing power ndogo hapo Nani alaumiwe, hafu ku discuss future ya kizazi kijacho sio mashinsano na wakionacho. Huyo kimei Kama kavimbiwa na wanawe wanafanya kaxi why a suggest utopolo good leader hu lead KWA example jesca mwenyewe elimu ya kuinga Ila kapewa connection Yuko kazini. So usiwaone watanzania wanao hustle mtaani bila mbeleko ni wajinga na hawana akili aisee. Ukiwa unakula na umebarikiwa mshukuru Mungu sio kuona wengine hawana akili ni Bora kufunga bakuli lako
Ufundi simu na umakenika wa siku hizi hauhitaji kufundishwa shuleni. Besides hata waalimu wa kufundisha wako wapi basi maana hawa waliopo wengi hata hivyo wanavyofundisha kwa sasa hawavijui wanababaisha tu.
😂😂😂Kwa ile mi VieiTe iliokuwa imejipanga uwani kama showroom hata mie sidhani kama kuna fundi viatu mle!
Kabisaaaaah yaanNi maisha ya hand to mouth, kesho itajisumbukia yenyewe
Hivi dea jesca anafanya kazi gan now? Hebu nambie huyu mzamiaji wa UDOM. Maisha hayako fair.Hivi unajua maana ya kazi au unafikiria kuajiriwa tu, Kuna waliotoka veta fundi ujenzi Ila watu hawajengi Kuna mafundi wa kupika na ku decorate event's Ila watu hawafanyi ma part hela hamna, mtu anayeshona je? Ana ujuzi shida purchasing power ndogo hapo Nani alaumiwe, hafu ku discuss future ya kizazi kijacho sio mashinsano na wakionacho. Huyo kimei Kama kavimbiwa na wanawe wanafanya kaxi why a suggest utopolo good leader hu lead KWA example jesca mwenyewe elimu ya kuinga Ila kapewa connection Yuko kazini. So usiwaone watanzania wanao hustle mtaani bila mbeleko ni wajinga na hawana akili aisee. Ukiwa unakula na umebarikiwa mshukuru Mungu sio kuona wengine hawana akili ni Bora kufunga bakuli lako
sasa limu ya diploma kuna tofautigani na degree yaani hata sijaelewa hoja yako inahusu nini.Tukifanya rejea vyuo vifuatavyo enzi za mwalimu zilitoa elimu ngazi ya cheti na diploma
Wahitimu wa vyuo hivyo walikuwa na mchango mkubwa kwenye fani zao katika maeneo ya kazi tofauti na wahitimu wa degree wa sasa. Sweden nao wanadhamini sana kuandaa nguvu kazi kwa elimu ya ngati ya Diploma na siyo DegreeSasa
- Chuo cha ufundi Arusha
- Chuo cha ufundi Dar es Salaam
- Chuo cha ufundi Mbeya (Enzi za Mwinyi)
- Dar es Salaam School of Accountancy (DSA) now Tanzania Institute of Accountancy
- IDM Mzumbe
- IFM
- CBE
- IAA.
Goal sio kazi Bali kazi yenye maslahi kama kazi zipo nyingi tu za viwandani, kuuza karanga, mihogo nk huitaji elimu wala ufundi kuwa na kazi na kingine jua kila mtu duniani lazima awe na kazi na kama hana atapata suala hiyo kazi ina maslahi kihasi gani sasa wewe mpeleke ufundi vitasa mwanao this is generation poverty.fundi anaweza akajichanganya sehemu yoyote.akafanya kazi akaishi.
Tofauti na wasomi wengi AMBAYO wamesoma wakiamini kuajiliwa ndo kila kitu.
HUYU msomi angetoka chuo akiwa na UJUZI wake wa umeme au ujenzi.asingesubiri kuajiliwa.
Na hata mainjinia wengi kujenga hawajui.wanatagemea mafundi
wewe unasema graduate hawana kazi wanaishi vipi.kwa hyo wewe ndo "MKE WAO" unajua kuwa hawapati kazi?
hawapati kazi Sasa wanaishi vipi?
Wa-tanzania naomba sana wamsikilize Mh. Kimei anajua nachokiongea, huyu hajawahi kuwa mwanasiasa. Ana practical ya kila anachokisema. Bora watu watoe hoja kuwa hawamwelewi ili atoe ufafanuzi zaidi, lakini siyo kumpinga. Naomba sana kwenye Bunge hili hii miaka mitano, tumsikilize kwa makini sana huyu mtu kila anachoongea
Ukisema mtu katoka Veta.
Alafu Hana kazi nitakushangaa.
Maana Veta NI UJUZI.
Hauitaji kuajiliwa.
Sasa ninyi endeleeni kushindana na watoto wa kimei.wakati wenzenu hata wasipokuwa na kazi wanaishi.
Mtoto wa masikini hata hyo hela ya kwenda VETA Hana
kuna vitu viwili vya muhimu sana ktk dunia hii ukiwa na ELIMU + MONEY = YOU'LL BE ABOVE ALLAlikuwa na point. What is the use 7 yrs Primary School+6 yrs Secondary School+ 2-5 yrs tertiary education. Na chuoni mtu anasoma BA Caltural Heritage, B.A Tourism, BA. Linguistics and the likes. Anakuja mtaani hakuna ajira anaishia kuwa boda BODA, kondakta wa basi.
Matumizi mabaya ya muda na rasilimali akili.
Maoni yangu:
1. Mfumo wa elimu urekebishwe miaka ipunguzwe i.e primary school 5 yrs secondary 3 to 4 yrs, e.t.c
2. Mkazo uwe kwenye vyuo vya kati. Basically middle income economy kwa kiasi kikubwa inaendesha na mafundi mchundo na mafundi sanity.
Ndio nasema usijaji watu, ka una neema mshukuru Mungu sisi tulioko mtaani tunaishi changanyikeni ndo tunajua uhalisia wa maisha ya watanzania na hamna asiyependa kufanya kazi maana informal sector ndo imeajiri watanzania wengi kuliko formal sector.Dada UJUZI HAUOZI.ipo siku tu.kitatokea kimeo
Mwenzangu jesca naskia alishamaliza udom na amepata kazi nzuri tu huko anafanya zake kimya kimya sie watoto wa wakulima tuendelee kujifunza kutengeneza simu na fundi mchundoHivi dea jesca anafanya kazi gan now? Hebu nambie huyu mzamiaji wa UDOM. Maisha hayako fair.