TANZIA Dkt. Kinabo ambaye ni daktari bingwa wa moyo afariki dunia leo Dodoma

TANZIA Dkt. Kinabo ambaye ni daktari bingwa wa moyo afariki dunia leo Dodoma

Poleni wafiwa.

Hivi Dr Kinabo huyu, ni ndugu na Dr Kinabo wa UDSM na Prof. Kinabo aliekuwapo UDOM miaka ya 2010 na kuendelea?

Kama ni ndugu basi huu uko upo vizuri kichwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANZIA

Ndugu yangu wa karibu Dr. KINABO anayemiliki Dispensary za Avenue hapa Dodoma, amefariki leo asubuhi. Nikiwa mwanafamilia naendelea kuisihi Serikali iwe serious na changamoto inayolikabili Taifa kwa sasa. Mchezo wao ndio mauti yetu. RIP Daktari.
Terrible Teen, Hata Bwana Yesu alipoona hatumuelewi sisi wanadamu na akiwa kijana bado alipaa zake mbinguni pekee yake kwa hiyo acha kututisha paa uende zako ukakae salama
 
Corona inafanya finishing ndugu yangu acha kubisha bisha vitu usivyovijua, pumzika nyumbani au Covid-19 ikakupumzishe kaburini. Period
Period mamako mshenz ww

Sent by IPhone
 
Wewe mfanyakazi wa mzee wako ndo mpumbavu hukumsaidia mwajiri wako achukue tahadhari zaidi kujikinga na gonjwa hili ukijua ana umri Mkubwa. Covid-19 inaadhiri zaidi wazee kama mzee wako kwa sababu kinga ya miili yao inakuwa imepungua lakini kwa kuwa mganga hajigangi, wewe ungemsaidia kwa kumfukiza hata kwa mbuyu kabla ya ndege kurudi. RIP, Doc!
Mpumbavu mamako mshenz ww

Sent by IPhone
 
TANZIA

Ndugu yangu wa karibu Dr. KINABO anayemiliki Dispensary za Avenue hapa Dodoma, amefariki leo asubuhi. Nikiwa mwanafamilia naendelea kuisihi Serikali iwe serious na changamoto inayolikabili Taifa kwa sasa. Mchezo wao ndio mauti yetu. RIP Daktari.
May his soul rest in eternal peace.
Namkumbuka wakati anafanya Residency yake KCMC (MMed Internal Medicine) miaka kadhaa iliyopita, mimi ndo nilikua nafanya MD; Alikua mwalimu mzuri sana kwetu undergraduates, nakumbuka pindi moja alitufundisha Diabetes mellitus, it was a very very good session. Alikua anaweza kuelekeza concept kiurahisi hadi mtu unaielewa. He was also very humble.
 
OMG, huyu dakitari aliwahi kumtibu mume wangu. RIP[emoji24][emoji24][emoji24]
TANZIA

Ndugu yangu wa karibu Dr. KINABO anayemiliki Dispensary za Avenue hapa Dodoma, amefariki leo asubuhi. Nikiwa mwanafamilia naendelea kuisihi Serikali iwe serious na changamoto inayolikabili Taifa kwa sasa. Mchezo wao ndio mauti yetu. RIP Daktari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANZIA

Ndugu yangu wa karibu Dr. KINABO anayemiliki Dispensary za Avenue hapa Dodoma, amefariki leo asubuhi. Nikiwa mwanafamilia naendelea kuisihi Serikali iwe serious na changamoto inayolikabili Taifa kwa sasa. Mchezo wao ndio mauti yetu. RIP Daktari.
Kama kafariki kwa Corona pia ni uzembe wake kwa maana tunaamini Daktari anauwezo mkubwa zaidi wa kukwepana na magonjwa kama hayo. Kaa sisi si ajabu maana hatuna clues kama wabobevu. RIP shemeji yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom