Au sukari imegoma kushuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sukari imegoma kushuka
Wewe nae kiherehere tu kama MakondaHao ni wapumbavu Mimi ni mfanyakaz wake mzee ameugua muda mrefu tangu Mwez wa kwanza hajaja kazin alikua nyumban Mzee alikua na sukar
Sent by IPhone
Yote haya yamesababishwa na ccm
Wee St Thomas aliyokuwa anatibiwa Mwl Nyerere ulikuwa unaijua si umeijua baada ya kifo cha mwlKwaiyo Hospital ya Benjamin waliofariki ni ao tu wawili toka ijengwe?
Aiseee chalii yangu iyo avatar Picha yako nikiiangalia inanichefua roho sijui kwa nini utadhani mikono ya octopus.
Kwani COVID-19 inaua tu wanaugua muda mfupiMkuu tunakuheshimu Sana hapa Acha uongo
Mimi ni mfanyakaz wake mzee ameugua muda mrefu tangu Mwez wa kwanza hajaja kazin alikua nyumban Mzee alikua na sukar
Sent by IPhone
Ni kinabo yule ambaye alikuwa DVC Academic & consultancy miaka ya 2010 kurudi nyuma? Mpole sana au Ni mwanae? Mana nakumbuka alishakuwa Prof. Kitambo.Hao ni wapumbavu Mimi ni mfanyakaz wake mzee ameugua muda mrefu tangu Mwez wa kwanza hajaja kazin alikua nyumban Mzee alikua na sukar
Sent by IPhone
Aiseee chalii yangu iyo avatar Picha yako nikiiangalia inanichefua roho sijui kwa nini utadhani mikono ya octopus.
Coronavirus Sucks
Kwanini unatoa Siri ya ugonjwa?Mimi ni mfanyakaz wake mzee ameugua muda mrefu tangu Mwez wa kwanza hajaja kazin alikua nyumban
Mzee alikua na sukar ya juu sanaa
Watu Waache kupotosha jamii
Sent by IPhone
Wewe mfanyakazi wa mzee wako ndo mpumbavu hukumsaidia mwajiri wako achukue tahadhari zaidi kujikinga na gonjwa hili ukijua ana umri Mkubwa. Covid-19 inaadhiri zaidi wazee kama mzee wako kwa sababu kinga ya miili yao inakuwa imepungua lakini kwa kuwa mganga hajigangi, wewe ungemsaidia kwa kumfukiza hata kwa mbuyu kabla ya ndege kurudi. RIP, Doc!Hao ni wapumbavu Mimi ni mfanyakaz wake mzee ameugua muda mrefu tangu Mwez wa kwanza hajaja kazin alikua nyumban Mzee alikua na sukar
Sent by IPhone
Weka pichaAcha uongo mzee alikua na sukar
Sent by IPhone
Imeisha pigahodi Geita naona tiyari 2kuleCorona mpaka iondoke na jiwe kwanza
Idadi bado ni ileile 16 nadhaniDaktari bingwa wa magonjwa ya moyo mkoa wa Dodoma Dkt. Kinabo amefariki dunia leo katika hospitali ya Benjamini Mkapa iliyopo UDOM Dodoma. Sababu ya kifo Bado haijaelezwa
Tunatoa pole kwa familia na wakazi wa Dodoma. Dkt. Kinabo pia alikuwa ana hospitali yake maeneo ya uhindini ambapo alikuwa akitoa huduma bora sana za moyo.
mkuu wataalam wanasema watu wenye magonjwa kama hayo ni rahisi Corona kuwapeperusha, kwa hiyo kuwa mpole tu you never knowHao ni wapumbavu Mimi ni mfanyakaz wake mzee ameugua muda mrefu tangu Mwez wa kwanza hajaja kazin alikua nyumban Mzee alikua na sukar
Sent by IPhone
Inasikitisha sana,mtu anakuwa na taarifa za kuunga unga kwa super glue ilimradi tu atoe taarifa inayoijua yeye na kuleta tafrani kwa umma
Apumzike panapomstahili marehemu
Sent using Jamii Forums mobile app