Dkt. Kitima: Baba Mtakatifu ametutaka tufuate ushauri wa Wanasayansi kuhusu ugunduzi wa chanjo

Baba mtakatifu utuache...hatutaki chanjo wala barakoa ...wazungu wanataka kutuua wote ili wachimbe madini yetu!! Sisi ni matajiri mno...Tumeshastuka...

CCM oyeeee!!
Oyeeeee
 
Dr Kitima tangaza lockdown kwa familia yako!! Hata Mungu naona humjui!! Katika kauli zako zote hakuna mahali unamtaja Mungu! Unafuata mataifa yaliyoendelea (yaliyogalagazwa na corona badala ya kumfuata Mungu!!). Namshukuru Mungu mimi siyo muumini wako!
 
Duh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…