Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa reasonable time inayo ongelewa ya kusema dawa au chanjo inapatikana.Reasonable time ni kabla ugonjwa haujaleta vifo au madhara makubwa
NjoCorona ni kirusi, ni kweli kipo.
Huyu kirusi ni kweli anashambulia mfumo wa hewa, na akifika kwenye mapafu ndio hali inakuwa mbaya zaidi.
Mwanzo top layer leaders walituambia corona ipo hata kwenye mapapai, kwa mbuzi n.k. Hivyo tusiiogope, lkn tulichukua tahadhari zote kasoro lockdown.
Safari hii tumeibuka na mambo ya chanjo, kwamba wazungu hawana nia nzuri na sisi.
Mimi niwaulize tu watz wenzangu, msimamo wa top layer wetu ni upi hasa, maana naona kuna kujikanganya kwingi.
Tumuombee Fr Kitima, ni kazi yake. Kwanza alisema ni Waraka wa Askofu Mkuu Nyaisonga kwa mababa wenzake TEC, kwamba tusipanic tuendelee kujiweka kwa Mungu na kuchukua tahadhari zote kama zamsni. Pili kasema Kanisa linazika mtu mmoja kila siku, unlike ilivyokwa mwanzo. Sikuelewa hii ilikuwa jinya nini khasa. Sasa kasema kunde ni Papa ndiye aliyesema. Yote inawezekana yakawa sawa, lakini bado la muhimu tumtegemee Mungu. Ila, tusiombe lockdown itatumaliza. Na hizi chanjo hatujui kama zina nia njema. Papa alisemaje tulipofunga siku 3 wakristo wote na waislamu wote na watu wengine wote? Au hakuambiwa? Halafu Pd Kitima alisema CCM mbona hawashangilii ushindi? Meaning waliiba kura alivyodai tundulissu.Katibu mkuu wa Baraza la Maaskofu (TEC), Dkt. Charles Kitima akiongea na BBC amesema Baba Mtakatifu ambaye ndio mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francisco amewataka kupokea ushauri wa wanasayansi kuhusiana na ugunduzi wa chanjo za Corona.
Dkt. Kitima amesema wao kama Kanisa watachukua tahadhari kama Mataifa yaliyoendelea yafanyavyo ikiwemo social distancing, kuvaa barakoa na kunawa mikono.
Fr. Kitima amesema kwa sasa wazee wengi wameacha kuhudhuria ibadani wakihofu maambukizi ya Corona.
Chanzo: BBC Dira ya Dunia
Maendeleo hayana vyama!
Mungu anasema kupitia Mitume wake.Nilidhani Mungu ndo kasema
Huyo padri wako mnafiki sana. Anataka kuuwa watu weusi. Unaambia adui wa mtu mweusi ni mtu mweusi. Hivi Magufuli(mzee mweusi) anasema hizo chanjo si salama. Kitime na huyo baba yake mtakatifu(mzee mweupe) wanasema tumwamini mzee mweupe. Mimi nitake my chances kwa kumsikiliza mzee mweusi(magufuli).Fr. Kitima ni mojawapo ya Mapadre wakweli na watiifu kwa KANISA. Mungu akubariki baba askofu mtarajiwa wa Jimbo la .....
Mungu kalazwa Nairobi.Nilidhani Mungu ndo kasema