Tetesi: Dkt. Likwelile kupandishwa Kisutu, yupo mikononi mwa TAKUKURU

Tetesi: Dkt. Likwelile kupandishwa Kisutu, yupo mikononi mwa TAKUKURU

Njaro

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2016
Posts
356
Reaction score
787
Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dr. Likwelile muda wowote kuanzia sasa atapandishwa mahakamani Kisutu kujibu mashitaka ya ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na kusaidia ukwapuaji wa fedha katika dili mbalimbali.

Taarifa nyeti zinasema tayari uchunguzi ushakamilika na muda si mrefu atapandishwa Kisutu na TAKUKURU. Kumbuka Dr. Likwelile alitenguliwa katika nafasi yake na Rais mzalendo Dr. John Pombe Magufuli..

Mytake: Kama aliiba na apandishwe tu, manake hakuna namna sasa!
 
Ile mahakama ya aliyoanzisha Mtukufu Rais Magufuli hivi ishapata shauri? Naona ni vyema ikaanza na huyu muheshimiwa. Haiwezekani majengo na miundombinu iwe tayari lakini mpaka sasa haijaanza kutumika. Bora majengo wayafanye Hostel za wanafunzi wa Law school.
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha Dr. Likwelile muda wowote kuanzia sasa atapandishwa mahakamani Kisutu kujibu mashitaka ya ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na kusaidia ukwapuaji wa fedha katika dili mbalimbali.

Taarifa nyeti zinasema tayari uchunguzi ushakamilika na muda si mrefu atapandishwa Kisutu na TAKUKURU. Kumbuka Dr. Likwelile alitenguliwa katika nafasi yake na Rais mzalendo Dr. John Pombe Magufuli..

Mytake: Kama aliiba na apandishwe tu, manake hakuna namna sasa!
Nonsense, unaandika kwa chuki
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha Dr. Likwelile muda wowote kuanzia sasa atapandishwa mahakamani Kisutu kujibu mashitaka ya ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na kusaidia ukwapuaji wa fedha katika dili mbalimbali.

Taarifa nyeti zinasema tayari uchunguzi ushakamilika na muda si mrefu atapandishwa Kisutu na TAKUKURU. Kumbuka Dr. Likwelile alitenguliwa katika nafasi yake na Rais mzalendo Dr. John Pombe Magufuli..

Mytake: Kama aliiba na apandishwe tu, manake hakuna namna sasa!
Kwani mahakama ya mafisadi tayari?Why him only na hatusikii lolote kwa akina Masamaki nk.?Au kuna kitu nyuma ya pazia?
 
Kama ni kweli ni vita kati ya mkulu na shemeji.
Sii mnajua chombo cha mtuhumiwa ni Mbunge wa vitu maalumu kutoka mkoa ule wa dhahabu na ambao ile wilaya pekee nchini yenye traffic light ipo?
 
Aliyekuwa katibu mkuu wa wizara ya fedha Dr. Likwelile muda wowote kuanzia sasa atapandishwa mahakamani Kisutu kujibu mashitaka ya ubadhirifu, matumizi mabaya ya madaraka, na kusaidia ukwapuaji wa fedha katika dili mbalimbali.

Taarifa nyeti zinasema tayari uchunguzi ushakamilika na muda si mrefu atapandishwa Kisutu na TAKUKURU. Kumbuka Dr. Likwelile alitenguliwa katika nafasi yake na Rais mzalendo Dr. John Pombe Magufuli..

Mytake: Kama aliiba na apandishwe tu, manake hakuna namna sasa!
Source?
 
Kama ni kweli mi napongeza, hata kama atafungwa kifungo cha nje kama wale wawili, but it's better than nothing
 
Back
Top Bottom