Tetesi: Dkt. Likwelile kupandishwa Kisutu, yupo mikononi mwa TAKUKURU

Tetesi: Dkt. Likwelile kupandishwa Kisutu, yupo mikononi mwa TAKUKURU

To my understanding Dr. Likwelile hakutoka Wizarani kwa sababu ya kashfa. Yeye alikuwa anaendesha mambo kitaalam zaidi asijue ni lazima pia uweke siasa ndani mwake. Nimfahamuvyo yule si mtu wa kupifa dili hata kidogo. Tusubiri tuone kama ni kweli. Na kama ikiwezekana wanaweza pia mzingulia jambo kwa kuwa inaonekana hakukuwa na maelewano mazuri. Professionalism Vs Orders!!
 
naona huelewi maana ya taratibu za fedha,kasome public finance regulations zinaeleza taratibu za fedha ya serikali inavyotakiwa kukusanywa na kutoka/kutumika..siku hizi ni amri ya mtu mmoja tu bila kujali accounting standards
Waliokuwa wanajali hizo accounting standards wametufikisha wapi? Maadamu pesa haziibiwi, ni heri tusifuate hizo standards lakini mambo yaende..
 
Waliokuwa wanajali hizo accounting standards wametufikisha wapi? Maadamu pesa haziibiwi, ni heri tusifuate hizo standards lakini mambo yaende..[/QUOT]
haziibiwi?nenda JNIA utapata shock jinsi taratibu za cash money zinavyokiukwa kwa amri
 
Fumbo mfumbie.....Dah! Watu mnajua kufumba nyie! Imenichukua saa nzima kustadi hadi kufumbua! Paliponitatiza na kutaka kunishikisha ziro ni pale....Hataki wanawake na maendeleo ya bongo fleva bali wama taasisi!
Imenisumbua, imenipotezea muda kuinyaka hiyo mkulu!
Mimi mpaka sasa hivi bado sijaelewa. Labda kahawa na kashata zitanizimua kidogo.
 
kuna kila dalili kwamba aliyekuwa katibu mkuu wa Hazina, Dk. Likwelile atapandishwa kizimbani Kisutu, Dar Es Salaam Kesho.

Taarifa zinaeleza ataunganishwa katika kesi inayomkabili aliyekuwa kamishna mkuu wa mamlaka ya mapato (TRA), Kitilya na wenzake.

Anatatarajia kupandishwa kizimbani saa 4:15 asubuhi
 
To my understanding Dr. Likwelile hakutoka Wizarani kwa sababu ya kashfa. Yeye alikuwa anaendesha mambo kitaalam zaidi asijue ni lazima pia uweke siasa ndani mwake. Nimfahamuvyo yule si mtu wa kupifa dili hata kidogo. Tusubiri tuone kama ni kweli. Na kama ikiwezekana wanaweza pia mzingulia jambo kwa kuwa inaonekana hakukuwa na maelewano mazuri. Professionalism Vs Orders!!
Marehemu alikuwa ntu wa dili bhna hta kwa muonekano wake
 
Marehemu alikuwa ntu wa dili bhna hta kwa muonekano wake
Si kweli hata kidogo. Kukataa kwake serikali isihamie Dodoma yote Bali kwa taratibu na Awamu ili kutoharibu mapato na matumizi ya serikali kwa shughuli za maendeleo ndiyo chanzo. Alitumia hesabu kushauri kumbe boss mwenyewe alikuwa hashauriki. Na akasimamia misimamo wake kama Katibu Mkuu mwenye dhamana ya mapato na matumizi ya nchi na bajeti yake.
 
Back
Top Bottom