Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Fumbo mfumbie.....Dah! Watu mnajua kufumba nyie! Imenichukua saa nzima kustadi hadi kufumbua! Paliponitatiza na kutaka kunishikisha ziro ni pale....Hataki wanawake na maendeleo ya bongo fleva bali wama taasisi!Hapo laweza kuwepo gundu? Au unasemaje mzee wa udaku Professor Lizaboni? Maana kuna ile ndoa tulichanga milioni 90 ikaishia kupigwa drip hospitalini. Halafu kuna ule wakati bwana mkubwa mzee wa totoz aliposema anataka kuonja asali yeye akaachia jumla bila kinga tukapata uzao.
Lakini bwana mkubwa akashtuka na kusema sitaki Wanawake na Maendeleo ya bongo flava nataka Wanawake na Maendeleo ya kitaasisi tuu.
Sasa Leo tena mtu unajitumbukiza shimo la fedha (hazina) linageuka shimo la choo?
GUNDU!
Imenisumbua, imenipotezea muda kuinyaka hiyo mkulu!