Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
huo sasa ni wivu unakusumbuaDuh inasikitisha sana yani inasikitisha....
Hivi vyuo uchwara hivi....afu eti chuo cha afya apo kimetoa manesi na wauguzi hao si ndo wale wanaeza kukuchoma sindano ata ya sumu mana najua watakua vilaza tu