Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
huo sasa ni wivu unakusumbuaDuh inasikitisha sana yani inasikitisha....
Hivi vyuo uchwara hivi....afu eti chuo cha afya apo kimetoa manesi na wauguzi hao si ndo wale wanaeza kukuchoma sindano ata ya sumu mana najua watakua vilaza tu
Ni kweli ameahidi tena amesisitiza atafutwe baada ya majuma mawili aanze utekelezaji na email ya mtendaji wake mkuu plus jina lake ameiacha kwa mawasiliano zaidiNimesikia na masikio yangu, tena kasema isipotosha wataongeza nusu yake tena!
Kweli kaka,huyu mzee yuko kitengo,sio kwa ukavu uleMichezo ya kitengo hii ndugu. Embu jaribu wewe kufanya anayofanya then utupe mrejesho uone.
Kama harmorapa aliweza, naona kazaliwa upya kwa uyu mzee,Michezo ya kitengo hii ndugu. Embu jaribu wewe kufanya anayofanya then utupe mrejesho uone.
Wasukuma ndo walivyoDR. Shika umeahidi $1m... kwa wanafunzi Kahama na mkuu wa Wilaya kakufagilia kweli.... huu si wakati wa masihara tena, mzaa Ukiendelea utakuja kuharibu.... ni maombi yangu uwe na hekima, maana ukitoa ahadi tena za kiswahili sasa utakuwa tapeli wa ukweli... usiichezee hii fursa mzee#
Wasukuma ndo walivyo
Uyu dokta kuna kitu anakitafuta
Tisha sana hapo kwenye Tarehe 20 mwezi wa 20, mwaka 2017.Ratiba ya Dr Shika:
23-11-2017- atakuwa Shinyanga kikazi lakini amegoma kuonana na family ndugu zake.
26-11-2017- atakuwa Mwanza kikazi kuzindua miradi mbalimbali na matangazo ya makampuni mbalimbali
30-11-2017- atakuwa Dsm kwa ajiri ya matangazo ya vodacom
6-12-2017- atakuwa na Erick Shigongo kwenye Global Publishers kwa kusaini mikataba mbalimbali.
15-12-2017- atakuwa Nairobi kwa ajiri ya matangazo ya bia ya Tusker
20-20-2017- atarudi Dsm kwa ajiri ya kuendesha arambee ktk kanisa flani..
Mtajua maana ya udaktari wake.
INAPENDEZA
Anajua anachokifanya,wacha tucheze muziki wakeAnaweza vuruga sana