Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,912
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja.Hivi ni vichwa vya Mwalimu Nyerere vy enzi hizo,msimchukulie poa.Hicho chuo wakimchukua afundishe wameramba dume,
dah kwa style hii ngoja namie nijitafutie umaarufu hata kumpiga busu mzee wa magogoni hadharani
Yupi ?yule kijana wa 1994Naunga mkono hoja.
Pia nimemuona mtoto wa Job Ndungai pale chuoni.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Kumbe kuvuruga minada ya watu ni dili siku hizi😵
Naam mkuu, Dr Shika amekula mwewe to Kahama. Pia namuona Ayo and the team hapaNdo kaenda kwa usafiri wa Precision Air
Yeah.....Yupi ?yule kijana wa 1994
Nilimuacha 2 classes secondary trust st Patrick chuga,,, he wasn't serious at all,.mzee wake anatakiwa ampeleke nje sio kahamaYeah.....
Dogo anang'ata sharubu tu hapa...[emoji2] [emoji2]
dah kwa style hii ngoja namie nijitafutie umaarufu hata kumpiga busu mzee wa magogoni hadharani
Nilikua najaribu kunyapia ili nijue amelipwa pesa ngapi alipoitwa kwenye ule mualiko.....Dr. Shika hata kama alikuwa hana hela ila sasa anaanza kupiga hela kwenye age ya 50+ to 60+ kweli hela na utajiri hauna formula maishani.
Life starts at 40s inatimia kwa Dr. Shika.
Duhhh....Nilimuacha 2 classes secondary trust st Patrick chuga,,, he wasn't serious at all,.mzee wake anatakiwa ampeleke nje sio kahama
Sure thing mkuu?Nilikua najaribu kunyapia ili nijue amelipwa pesa ngapi alipoitwa kwenye ule mualiko.....
Soon nitarejea na mrejesho, ingawa za chini ya jamvi inasemekana amehesabiwa wekundu aka shuka za kimasai 4,000
Akikujibu naomba unitag......samahani wewe jinsia gani??
Umeumia,,,,au ndio wewe mkuu?Duhhh....