popoma
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 2,378
- 3,363
Hahahahaaa!!!!!Ujiandae kwa mawili, kama unawakukuchangia ukalale miezi mingi Nairobi Hospital au tukuokote Coco beach katika kifurushi kama hiki
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaaa!!!!!Ujiandae kwa mawili, kama unawakukuchangia ukalale miezi mingi Nairobi Hospital au tukuokote Coco beach katika kifurushi kama hiki
![]()
[emoji23] [emoji23] [emoji23] we utakuwa unajitafutia maumivu sio umaarufudah kwa style hii ngoja namie nijitafutie umaarufu hata kumpiga busu mzee wa magogoni hadharani
Nilikua natafakari tu mkuu, na nikajiuliza maswali kadhaa na kwanini umependekeza apelekwe kusoma nje kana kwamba Tz hakuna vyuo mujarab...?Umeumia,,,,au ndio wewe mkuu?
Na kwa elimu yake mara paa iiiii anapewa shavu uwazir ngoja muone...mawazo tyu
Naunga mkono hoja.....Dr. Shika mda sio mrefu mtasikia amejiunga na ccm
Hapo sasa ataharibu.Dr. Shika mda sio mrefu mtasikia amejiunga na ccm
I guess you are a humble lady!Kwa alivyokua acha tu apate furaha bana,,mi nafurahi apate zaidi na zaidi
Kazaliwa mwaka 70 nyerere kastaafu 80+.sijui anakuaje kichwa cha nyerereHivi ni vichwa vya Mwalimu Nyerere vy enzi hizo,msimchukulie poa.Hicho chuo wakimchukua afundishe wameramba dume,
VIP amevaa viatu au bado anachange juu tu chini sendo za urusiWanajamii forum habari za mchana,
Yule Daktari bilionea maarufu nchini kwa sasa ameonekana wilayani Kahama akiwa ni mgeni maalumu katika uzinduzi wa chuo hicho ambao unafanyika leo..
Picha zaidi nitatupia .
![]()
![]()
![]()
Kavaa sendo subiri nije nimvute karibu nitumeVIP amevaa viatu au bado anachange juu tu chini sendo za urusi
Kama mwaka 1977- 1979 mwishoni Dr Shika alikua Mbeya M.T.C akisoma course ya Clinical Oficer (C.O) zamani waliitwa Medical Assistant, Kule chuoni Mbeya alikuwa anaitwa Lunyalula Kidola na alikuwa Rais wa chuo.Kazaliwa mwaka 70 nyerere kastaafu 80+.sijui anakuaje kichwa cha nyerere
HahahahahAtafute hela za kuziba hayo mapengo sasa.
Nimecheka hadi machozi, huyu mzee aanze kulipwa na serikali, katupunguzia sana stress aiseeee, yani anatembea kwenye gari ya wazi huku anapunga mkono,,,,, Ila nilikua najizuia kucheka kutokana na sehemu na watu nilionao, nimejikuta kicheko na ushuzi vimetoka kwa pamojaKuna clip nimeipata ngoja niitupie, uone Dr Shika anavyo zungushwa na akiwapungia wananchi mkono kama miheahimiwa Rais....[emoji13] [emoji13]
Mkuu, nakuona tu kwa mbaali na muwani wako....[emoji2] [emoji2]Niko hapa kwenye mahafali muda si mrefu DK Shika Atahutubia