Jiwedogo
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 2,811
- 4,097
Duhhh....[emoji12] [emoji12]Mdada alikuwa wa kwanza kusogea mbele na kisimu chake akimpiga picha Dr shika...amevaa gauni la blue ndio mie hapa afisa masoko mwenyewe[emoji28] [emoji28] [emoji23] [emoji23]
Nipo lango la kutoka upande wa high table...
Njoo nikupe za sakafuni toka kwa Dr Shika[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimesha kuona mkuu.
Kumbe ndio wewe... kweli jf ni kichaka